Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Huyo ndio ajae 2025, Isha semwa mbona. Samia anatakiwa kumpishaJamaa anaweza kuvaa viatu vya SSH atakapomaliza muda wake. Atapita katikati ya ugomvi wa wabara. (Utabiri wangu)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ndio ajae 2025, Isha semwa mbona. Samia anatakiwa kumpishaJamaa anaweza kuvaa viatu vya SSH atakapomaliza muda wake. Atapita katikati ya ugomvi wa wabara. (Utabiri wangu)
[emoji23][emoji23][emoji23] naona una ugomvi na msoga gang weweKwani nani hakujizaa? Mkalitizame na hili.
Kiasi yuko vizuriWanaJF
Salaam!
Maji hufuata mkondo wake - Rais wa awamu ya pili wa JMT alijizaa mfano wake. Hussein Ally Hassan Mwinyi (Rais wa sasa wa nchi ya Zanzibar) ni kiongozi shupavu na mwadilifu sana!
Chini ya uongozi wake naiona Zanzibar inayofunguka - naiona Zanzibar inayobadilika - naiona Zanzibar inayokua.
Aidha, rekodi zake akiwa Waziri wa Serikali ktk JMT kwa nafasi ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa sikuwahi kusikia, kuona ama kupata taarifa inayomtuhumu na ufisadi wa mali na rasilimali za taifa. Hii inanisukuma kumpa "BIG Up". Mengine nayompongeza ni:-
(a). Kukubali maridhiano kati ya Serikali yake na upinzani hususan ACT Wazalendo. Kwa utamaduni wa CCM si rahisi kukubali kufanya kazi ya ujenzi wa taifa kwa kushare madaraka!
(b). Miradi ya mikakati ya utafiti na uchimbaji mafuta, ujenzi wa barabara au daraja toka Zanzibar mkp Dar, ujenzi wa barabara za mitaani, utoaji mikopo kwa Jamii ya wazanzibar, uwajibishaji viongozi wazembe - kama aliyepata ajari tz akaachwa tu nk hivi ni baadhi ya vitu vinavyovutia sana.
(c). Kutopenda kutukuzwa - wapo viongozi wanapenda utukifu uliopitiliza, wanaofumbia uovu hasa ufujaji mali za umma (rejea taarifa za CAG) zinavyofunikwa na baadhi ya viongozi.
Nasema, Hussein Ally Hassan Mwinyi hongera sana kwa kazi na utumishi uliotukuka.
Msakila Kabende
Kakonko
WanaJF
Salaam!
Maji hufuata mkondo wake - Rais wa awamu ya pili wa JMT alijizaa mfano wake. Hussein Ally Hassan Mwinyi (Rais wa sasa wa nchi ya Zanzibar) ni kiongozi shupavu na mwadilifu sana!
Chini ya uongozi wake naiona Zanzibar inayofunguka - naiona Zanzibar inayobadilika - naiona Zanzibar inayokua.
Aidha, rekodi zake akiwa Waziri wa Serikali ktk JMT kwa nafasi ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa sikuwahi kusikia, kuona ama kupata taarifa inayomtuhumu na ufisadi wa mali na rasilimali za taifa. Hii inanisukuma kumpa "BIG Up". Mengine nayompongeza ni:-
(a). Kukubali maridhiano kati ya Serikali yake na upinzani hususan ACT Wazalendo. Kwa utamaduni wa CCM si rahisi kukubali kufanya kazi ya ujenzi wa taifa kwa kushare madaraka!
(b). Miradi ya mikakati ya utafiti na uchimbaji mafuta, ujenzi wa barabara au daraja toka Zanzibar mkp Dar, ujenzi wa barabara za mitaani, utoaji mikopo kwa Jamii ya wazanzibar, uwajibishaji viongozi wazembe - kama aliyepata ajari tz akaachwa tu nk hivi ni baadhi ya vitu vinavyovutia sana.
(c). Kutopenda kutukuzwa - wapo viongozi wanapenda utukifu uliopitiliza, wanaofumbia uovu hasa ufujaji mali za umma (rejea taarifa za CAG) zinavyofunikwa na baadhi ya viongozi.
Nasema, Hussein Ally Hassan Mwinyi hongera sana kwa kazi na utumishi uliotukuka.
Msakila Kabende
Kakonko
Yuko vizuri kwa kuzunguka misikitiniKiasi yuko vizuri
Kwa sababu Zanzibar misikiti ndio mingi ijapokuwa dini ya kwanza huko ilikuwa ni Katoliki na Anglikana kabla ya uislamukwa kuzunguka misikitini
ni kweli kabisa anajaribu kutumia misikiti aonekane ni muumini lakini hii hali haimruhusu kwani damu za watu kazimwaga pamoja na wengine kuwapa vilema vya maisha , na yale waliyokubaliana na Marehemu Maalim seif hajatekeleza hata mojaKwa sababu Zanzibar misikiti ndio mingi ijapokuwa dini ya kwanza huko ilikuwa ni Katoliki na Anglikana kabla ya uislamu
ni kweli kabisa anajaribu kutumia misikiti aonekane ni muumini lakini hii hali haimruhusu kwani damu za watu kazimwaga pamoja na wengine kuwapa vilema vya maisha , na yale waliyokubaliana na Marehemu Maalim seif hajatekeleza hata moja
Damu ya nani kamwaga acha uzushi
Ni kwa sababu hujaisikiliza hii clip , Sikulaumu labda na wewe umelewa asali anayokulambisha hujali mateso tunayopitia
Peleka mahakamani sio kutuletea uzandiki wako hapa usio na ushahidi wa maana ambao umethibitishwa kisheria.
Jizi kubwa wewe umedhibitiwa na wenzio na mtaendelea kufungwa soana mpaka basiHata hujasikiliza , umeshupalia mapenzi kwa mwizi wa kura na muuwaji , mishipa ya koo imekutoka
Mahakamani tushapeleka kwa yule anayejuwa kuhukumu , hakimu mwadilifu , Kesi ya mwenye kudhulumiwa hairudi, na si kwa majaji hawa waliowekwa na yeye pamoja na CCM wenzake
Hivi kuna Sheria TZ , kama kuna sheria huyo mwinyi hafai kugombea uraisi hata dakika moja na hayo kayasema Balozi Ali Karume, CCM juzi hapa , mchana kweupe hadharani.
Aliposema yule CCM kidagaa , Bakari Shamte , mkapiga mpaka leo anachechemea, lakini Ali karume mnamwogopa hata kumgusa
Kesi ya nyani uipeleke kwa kima 😛 😛
Wewe unaona ni uzandiki kwa kuwa unalamba naye asali kwenye BUYU , sikulaumu
Jizi kubwa wewe umedhibitiwa na wenzio na mtaendelea kufungwa soana mpaka basi
Yaani wewe ndio unachukua mawazo ya uzao wa Mmanyema aliyekimbilia Nyasa kutoka Kivu kisha katorokea (stowaway) kwenda Zanzibar ili awe baharia?Mbona unanikasirikia Mimi, mnyonge mpiga kura, Mwinyi hata umpigie debe vipi amejaa damu na kawekwa na Magufuli, Sheria Za uchaguzi hazimruhusu kugombea Zanzibar.
Hata hujasikiliza , umeshupalia mapenzi kwa mwizi wa kura na muuwaji , mishipa ya koo imekutoka
Mahakamani tushapeleka kwa yule anayejuwa kuhukumu , hakimu mwadilifu , Kesi ya mwenye kudhulumiwa hairudi, na si kwa majaji hawa waliowekwa na yeye pamoja na CCM wenzake
Hivi kuna Sheria TZ , kama kuna sheria huyo mwinyi hafai kugombea uraisi hata dakika moja na hayo kayasema Balozi Ali Karume, CCM juzi hapa , mchana kweupe hadharani.
Aliposema yule CCM kidagaa , Bakari Shamte , mkapiga mpaka leo anachechemea, lakini Ali karume mnamwogopa hata kumgusa
Kesi ya nyani uipeleke kwa kima 😛 😛
Wewe unaona ni uzandiki kwa kuwa unalamba naye asali kwenye BUYU , sikulaumu
Sijakuambia Ali Karume awe Rais , tunaongelea sifa unazompa jizi la kura liuwaji Mwinyi na unafiki wake wa kujipeleka misikitini.Yaani wewe ndio unachukua mawazo ya uzao wa Mmanyema aliyekimbilia Nyasa kutoka Kivu kisha katorokea (stowaway) kwenda Zanzibar ili awe baharia?
Ali Karume awe rais Zanzibar? You can't be serious!!!
Hakumwaga damu sbb hakuwa madarakani wkt huoKama waliomtangulia , huyo ni mwizi wa kura na baya zaidi kaingia madarakani kwa kumwaga damu za watu , hana chochote anachokifanya cha maana isipokuwa kuwakingia wezi wenzake kifua maana wote wanaotangazwa na CAG hakuna hata mmoja aliyempeleka mahakamani
Waziri wa ulinzi kumbe si madaraka?Hakumwaga damu sbb hakuwa madarakani wkt huo