Asante BAVICHA Mkoa wa Tanga kwa Kuwamaliza Watu Wasiojulikana

Asante BAVICHA Mkoa wa Tanga kwa Kuwamaliza Watu Wasiojulikana

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,

Kama mnakumbuka, Baraza la Taifa vijana la CHADEMA Mkoa wa Tanga, Walitoa siku nne Watu wasiofahamika Waliompiga risasi Lissu Wajitokeze. Na Wasipojitokeza Watasoma Albadir.

Baada ya siku nne kuisha Wasiojulikana hawakujitangaza wakakaa kimya. Hivyo Albadir baada ya siku nne ikasomwa.

Baada ya Muda tukaona kama haijafanya kazi.

Screenshot_20230215-102235.png
Lakini sasa hivi Wasiojulika hawsikiki tena, watu hawatekwi, hawaokotwi kweye Viroba wala mizoga ya watu haiokotwi barabarani.

Watu tuliosomea Cuba, tunajua kilichowapata.

Je, Tanzania itegemea Kikundi kipya cha Wasiojulikana?

Nasikia hadi Kaburi la kiongozi la Wasiojulikana la Tiles nyeusi limepasuka na kujenga nyufa.

IMG_20230215_101929_739.jpg

Kwa hizi albadiri nilizozishuhudia leo hakyanani tujiandaeni kwa Msiba mzito Tanzania
 
🤣🤣🤣🤣 nchi ikija kuongozwa na chadema hata ndotoni itakua ni ya ajabu sana🤣 kwahiyo wauaji wanaogopa kisomo?
 
Mkuu unaishi wapi mbona watu wanaokotwa kila kukicha sema kigogo hajashupalia kama enzi za JPM
 
Nawakumbusha tu bavicha msitumie nguvu nyingi kupiganiwa watu wa deal ogopa hayo makubaliano walio ingia.

Namaanisha msijiumize wale pesa inaingia nyinyi mnakauka koo kuwatetea ogopa sana aale ni watoto wa mjini.
 
Back
Top Bottom