Asante Bwana Yesu, angalau hili la kuuza bandari hata wajinga wa Tanganyika wamelielewa

Asante Bwana Yesu, angalau hili la kuuza bandari hata wajinga wa Tanganyika wamelielewa

ameuza bandari za watanganyika, angalau hili hata wajinga wamelielewa. nasema hata wajinga wa tanganyika hili wamelielewa

Alafu hao hao jamaa serikali ikinunua mzigo nje inawalipa wao
Sipati picha silaha zetu zinapitia kwao
 
ameuza bandari za watanganyika, angalau hili hata wajinga wamelielewa. nasema hata wajinga wa tanganyika hili wamelielewa
Kweli ni Jambo la kumshukuru MUNGU🙏🏾

Ile mikutano ya siasa kuelimisha wananchi pia iendelee kwa kasi na nguvu zaidi, nayo ina impact
 
Kuogopa uwekezaji ni ujinga. Cha msingi mikataba ipitiwe kwa kina na uwazi. Wenyewe mmeendesha for ages bado ipo pale pale.

Maza akitoka hapo aende airports. Wape watu wanaojua kazi na wenye nyenzo za kazi waendeshe.
wewe hujui kitu, kuna kesi zaidi ya 20 all over the world involving these thugs and all revolce around mismanagement of what they promised to manage
 
Kuogopa uwekezaji ni ujinga. Cha msingi mikataba ipitiwe kwa kina na uwazi. Wenyewe mmeendesha for ages bado ipo pale pale.

Maza akitoka hapo aende airports. Wape watu wanaojua kazi na wenye nyenzo za kazi waendeshe.
Uwekezaji kwenye taasisi ya Urais vipi?
 
ameuza bandari za watanganyika, angalau hili hata wajinga wamelielewa. nasema hata wajinga wa tanganyika hili wamelielewa
Swali: Mkataba ni wa muda gani?
Jibu la waziri..
👇
1686507696828.png

Hili jibu halieleweki hata🙄
 
wewe hujui kitu, kuna kesi zaidi ya 20 all over the world involving these thugs and all revolce around mismanagement of what they promised to manage

At the same time kuna bandari zingine kibao wanaendesha successfully. Sisapoti mkataba wa hovyo, mkataba ni makubaliano. Sisi tuangalie kinachotufaa. Ni taasisi gani haina lawsuit?
 
At the same time kuna bandari zingine kibao wanaendesha successfully. Sisapoti mkataba wa hovyo, mkataba ni makubaliano. Sisi tuangalie kinachotufaa. Ni taasisi gani haina lawsuit?
mention one
 
ameuza bandari za watanganyika, angalau hili hata wajinga wamelielewa. nasema hata wajinga wa tanganyika hili wamelielewa
👇
 
Back
Top Bottom