Wakielewa inakuwaje?ameuza bandari za watanganyika, angalau hili hata wajinga wamelielewa. nasema hata wajinga wa tanganyika hili wamelielewa
Ukoloni upo tu, labda ni suala la kuchagua aina ya mkoloni tu.
Hakuna jinsi unaweza kuukataa ukoloni kwa kusema tu na ukaisha.