Wakielewa inakuwaje?ameuza bandari za watanganyika, angalau hili hata wajinga wamelielewa. nasema hata wajinga wa tanganyika hili wamelielewa
Hakuna anaepinga uwekezaji..ni terms na conditions..clauses za kinyonyajiKuogopa uwekezaji ni ujinga. Cha msingi mikataba ipitiwe kwa kina na uwazi. Wenyewe mmeendesha for ages bado ipo pale pale.
Maza akitoka hapo aende airports. Wape watu wanaojua kazi na wenye nyenzo za kazi waendeshe.
Watu hawakatai uwekezaji, ila wenye tija na ambao rushwa haikutumikaKuogopa uwekezaji ni ujinga. Cha msingi mikataba ipitiwe kwa kina na uwazi. Wenyewe mmeendesha for ages bado ipo pale pale.
Maza akitoka hapo aende airports. Wape watu wanaojua kazi na wenye nyenzo za kazi waendeshe.
Duuh hii hatari sanaAlafu hao hao jamaa serikali ikinunua mzigo nje inawalipa wao
Sipati picha silaha zetu zinapitia kwao
Kabla ya hili nilikuwa sijui kama watu wa upinde mna udini mkali kupita maelezo......nimeshangaa sana! Au hofu yenu ni kuwa dildos hazitopita tena bandarini akiwa mwarabu?!!!!Adui wa Tanzania Bara ni Samia msaliti, wacha kuisingizia Katiba iliyopo hata kama mbovu.
Ameapa kuilinda Katiba na rasilimali zetu, ajabu anaenda kuzitoa kwa wajomba zake Arabuni licha ya kiapo chake.
Wagalatia mnaumia sana mwarabu kupewa, ila jueni kuna waarabu wakristo pia
Akili kisoda, mtaumia sana tena sana
Mwarabu anaenda kutawala dunia sasa
Enzi inarudi mtake msitake
Lack of entrepreneurship skills, in entrepreneurship we learn how to do business not about businessKuogopa uwekezaji ni ujinga. Cha msingi mikataba ipitiwe kwa kina na uwazi. Wenyewe mmeendesha for ages bado ipo pale pale.
Maza akitoka hapo aende airports. Wape watu wanaojua kazi na wenye nyenzo za kazi waendeshe.
Hakuna hata nchi moja Duniani aliyowapa DP bandari zao zote. Kwa mataifa makubwa hakuna hata nchi moja iliyowapa DP bandari mama, wamewapa bandari mojawapo, tena hakuna mahaki ilipopewa mkataba wa zaidi ya miaka 30.At the same time kuna bandari zingine kibao wanaendesha successfully. Sisapoti mkataba wa hovyo, mkataba ni makubaliano. Sisi tuangalie kinachotufaa. Ni taasisi gani haina lawsuit?
Sasa hoja yako ni nini au unatafuta kiki we unayetukana watanganyikaAmeuza bandari za watanganyika, angalau hili hata wajinga wamelielewa. nasema hata wajinga wa tanganyika hili wamelielewa
Halafu alianza mapema tu toka alipokalia kiti, tumekuja shtuka it's too late,mie maza nilikuwa namkubal kinoma saivi moyo wangu umeingia baridi juu yake 🙏Adui wa Tanzania Bara ni Samia msaliti, wacha kuisingizia Katiba iliyopo hata kama mbovu.
Ameapa kuilinda Katiba na rasilimali zetu, ajabu anaenda kuzitoa kwa wajomba zake Arabuni licha ya kiapo chake.
Huwezi kuelewa, shabikia yanga, that you can do,nicely!Sasa hoja yako ni nini au unatafuta kiki we unayetukana watanganyika
The honeymoon is over now! Nilikutahadharisha na bado utaujua ukweli kufika 2025!Ameuza bandari za watanganyika, angalau hili hata wajinga wamelielewa. nasema hata wajinga wa tanganyika hili wamelielewa
MTU mmoja aliyeshiba hataweza kuuza nchi yetu .Ameuza bandari za watanganyika, angalau hili hata wajinga wamelielewa. nasema hata wajinga wa tanganyika hili wamelielewa
Nakupata mkuu, ila mabepari ni majanja majanja. Watafaidika wao, sisi patupu, ndio hofu yetu.Kuogopa uwekezaji ni ujinga. Cha msingi mikataba ipitiwe kwa kina na uwazi. Wenyewe mmeendesha for ages bado ipo pale pale.
Maza akitoka hapo aende airports. Wape watu wanaojua kazi na wenye nyenzo za kazi waendeshe.
sasa Jeshi fdha watazipeleka wapi wakizikusanya barabarani?MTU mmoja aliyeshiba hataweza kuuza nchi yetu .
Tumejifunza Loliondo na Mtwara kwenye gesi.
Wakae pembeni wameshindwa kuisimamia mpaka bandari inayokusanya pesa tu. Yaani Hata kukusanya pesa wameshindwa basi ni Bora waachi Jesi liendeshe bandari wakishirikiana na TRAFIKI. Meli ikiingia inapigwa mkono inawekwa pembeni inalipa pesa unatembea mbele kushusha mzigo ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji112]
Tunafahamu ni chuki tu zinawasumbuwa, chuki za "kwanini iwe Waislam?" "kwanini iwe Waarabu?"Ameuza bandari za watanganyika, angalau hili hata wajinga wamelielewa. nasema hata wajinga wa tanganyika hili wamelielewa
Upo sahihi Wajinga wa Tanganyika Wameshiriki KIKAMILIFU kupitia Wabunge wao wajaza matumbo yaoAmeuza bandari za watanganyika, angalau hili hata wajinga wamelielewa. nasema hata wajinga wa tanganyika hili wamelielewa
NANI ataipitia kwa kina? Kwanini iwe Wazi? Hakuna mambo hayo hii ni TanzaniaKuogopa uwekezaji ni ujinga. Cha msingi mikataba ipitiwe kwa kina na uwazi. Wenyewe mmeendesha for ages bado ipo pale pale.
Maza akitoka hapo aende airports. Wape watu wanaojua kazi na wenye nyenzo za kazi waendeshe.