Tulipymbazwa sana kwa ujinga wa bwana yule.Mwendazake aliharibu watu akili sn
Ndiyo hivyoTulipymbazwa sana kwa ujinga wa bwana yule.
Inaeleweka sema hutaki maana Mwendazake alikuchanganya akili......mbna hueleweki aisee, shukrani kwa kukosa soko ama maaana sjaelewa
Rubbish, nakwambia wizi umeisha! Nani kasema havitumki? Nasema wizi wa limao nilioushuhudia umeisha....Kwa hiyo watu wame stop kutumia limau na pilipili.......ni zwazwa tu atakayeamini huu uzushi.
Kama vilikuwa havitumiki vilikuwa vinapelekwa wapi na sasa kama vinatumika vinatumika na akina nani?Rubbish, nakwambia wizi umeisha! Nani kasema havitumki? Nasema wizi wa limao nilioushuhudia umeisha....
Inaeleweka sema hutaki maana Mwendazake alikuchanganya akili......