Absolutely... Na ukitaka kuishi vizuri kwenye hii dunia, fata kinachokupa raha sio kuwafurahisha watuShukran sana,..ila aiseee hapa duniani ukisikiliza sana na kufuatisha wanayotaka viumbe hai hasa wa dunia hii ya 3 kuna siku unaweza tembea ka mwehu kama si chizi kabisaa.
Hahaaaa. Itakuwa kweli Mkuu.Ngoja waje kina shunie, hajar na wengine watusibitishie
tatizo kila wanachokiona kwa wazungu na wenyewe wanataka wakifanye mwisho wa siku wanaonekana kama CartoonHakuna jambo la kijinga nilionalo kwa wanawake kama kuvaa mawigi na kutumia lotion za kubadilisha rangi ya ngozi zao