MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Wakuu,
Mimi nimekuwa mshabiki sana wa mabeki ambao wana uwezo mkubwa wa kumiliki mpira. Nilikuwa kichaa wa George Masatu na baadae Victor Costa. Baada ya Victor Costa niliamini kizazi cha mabeki wenye akili kimeisha then akaibuka Erasto Nyoni! Huyu mpira unamtii yeye, anaweza kufanya anachotaka akiwa na mpira.
Wakati wengi tukihisi Erasto Nyoni inakuwa jioni kwake tumepata igizo jipya ambalo sihitaji kumuona mechi nyingi kuamini uwezo wake, Ibrahim Ame!
Pale tumesajili mtu na nusu na bora tulivyomkosa Mwamnyeto. Ukimuangalia Ame unamuona Victor Costa na Erasto Nyoni! Kwa Utulivu, ball control na nguvu. Inawezekana akawa mkali wa kupiga penati pia, Tusisahau, Masatu, Costa na Nyoni hawajawahi kukosa penati.
Sasa kwa amani sina wasiwasi Erasto akiamua kupumzika, tumepata mbadala wake Simba na timu ya taifa. Nafikiri kocha wa Taifa Stars atambue sasa kuwa hili Taifa lina vipaji vingi ila hatuna njia ya kuviibua na kuishia kuteua kwa mazoea, imagine Ally Mtoni amewahi kuitwa Taifa Stars na si Ibrahim Ame.
Ibrahim Ame kaza mdogo wangu, wewe ni hazina ya nchi na tegemeo la muda mrefu sababu ya umri wako.
Mimi nimekuwa mshabiki sana wa mabeki ambao wana uwezo mkubwa wa kumiliki mpira. Nilikuwa kichaa wa George Masatu na baadae Victor Costa. Baada ya Victor Costa niliamini kizazi cha mabeki wenye akili kimeisha then akaibuka Erasto Nyoni! Huyu mpira unamtii yeye, anaweza kufanya anachotaka akiwa na mpira.
Wakati wengi tukihisi Erasto Nyoni inakuwa jioni kwake tumepata igizo jipya ambalo sihitaji kumuona mechi nyingi kuamini uwezo wake, Ibrahim Ame!
Pale tumesajili mtu na nusu na bora tulivyomkosa Mwamnyeto. Ukimuangalia Ame unamuona Victor Costa na Erasto Nyoni! Kwa Utulivu, ball control na nguvu. Inawezekana akawa mkali wa kupiga penati pia, Tusisahau, Masatu, Costa na Nyoni hawajawahi kukosa penati.
Sasa kwa amani sina wasiwasi Erasto akiamua kupumzika, tumepata mbadala wake Simba na timu ya taifa. Nafikiri kocha wa Taifa Stars atambue sasa kuwa hili Taifa lina vipaji vingi ila hatuna njia ya kuviibua na kuishia kuteua kwa mazoea, imagine Ally Mtoni amewahi kuitwa Taifa Stars na si Ibrahim Ame.
Ibrahim Ame kaza mdogo wangu, wewe ni hazina ya nchi na tegemeo la muda mrefu sababu ya umri wako.