NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Mashabiki wa Ayubu FC kuanzia jukwaa pendwa la Jamii forum waliandika nyuzi nyingi na kupiga kelele nyingi kuwa Bocco umezeeka hufai kuichezea Ayubu Fc.
Ikafikia hatua mashabiki wakaanza kumpangia kocha ampange Moses Phiri badala ya John Bocco.
Kwa ushangiliaji ule wa John Bocco kwa wenye akili kubwa Kama NALIA NGWENA tumeshaelewa kuwa mashabiki wa Ayubu FC wapunguze mdomo na John Bocco yupo sana ndani ya kikosi Cha Ayubu FC.
Na jinsi mashabiki walivyo mbumbumbu Kama alivyowaita Rage walizani The captain fantastic John Bocco anawanyamazisha mashabiki wa Yanga.
PIGA KAZI JOHN BOCCO
NO BOCCO NO SIMBA.
Ikafikia hatua mashabiki wakaanza kumpangia kocha ampange Moses Phiri badala ya John Bocco.
Kwa ushangiliaji ule wa John Bocco kwa wenye akili kubwa Kama NALIA NGWENA tumeshaelewa kuwa mashabiki wa Ayubu FC wapunguze mdomo na John Bocco yupo sana ndani ya kikosi Cha Ayubu FC.
Na jinsi mashabiki walivyo mbumbumbu Kama alivyowaita Rage walizani The captain fantastic John Bocco anawanyamazisha mashabiki wa Yanga.
PIGA KAZI JOHN BOCCO
NO BOCCO NO SIMBA.