Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mbona alikuwa Chawa kitambo sana !Kweli USA maisha magumu..
umekubali kuufedhehesha utu wako kwa vipande vya fedha.
kakutumia ngapi hadi ukademka hivi, maana sabaya ni bilionea.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona alikuwa Chawa kitambo sana !Kweli USA maisha magumu..
umekubali kuufedhehesha utu wako kwa vipande vya fedha.
kakutumia ngapi hadi ukademka hivi, maana sabaya ni bilionea.!
Kichwa cha habari cha uzi wako kinajionyesha kuwa wewe nia adui wa jamiiKosa kubwa la Sabaya pale Hai ni kurejesha ardhi ya Waislam waliyoporwa na matajiri wa Hai na kuirudisha kwa BAKWATA.
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kurejesha Mashamba ya Ushirika iliyoporwa na matajiri wa Hai na kuwapa Wananchi wanyonge walime na kujipatia mlo wao badala ya kukodishwa na Matajiri.
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kufukua mapango ya majambazi wa Magari Arusha, Moshi, Mererani na Dar es salaam yaliyokuwa yanajificha wilayani Hai, Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuwarejeshea Walimu waliyodhulumiwa pesa zao na Qnet.
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuwapigania Wananchi wanyonge waliyoporwa ardhi yao pale Hai na matajiri wa Kimachame.
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kurejesha Jimbo la Hai, Halmashauri ya Wilaya na Halmashauri ya Vijiji mikononi mwa CCM, Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuongeza makusanyo ya Kodi ya TRA na Kodi ya Halmashauri ya Wilaya na kuwadhibiti wakwepa Kodi huko Hai.
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuwafanya Wananchi wa Hai waishi bila hofu ya Ujambazi.
Kama huu ndiyo Ujambazi wa Lengai Ole Sabaya basi tunawahitaji majambazi wengi zaidi wa aina hii hapa Tanzania ili tuweze kusonga Mbele.
Watalaam wa Utambuzi wanasema ukimwahamisha OCD au Mkuu wa Kituo halafu wanaoshangilia sana ni wahalifu halafu Wananchi wanyonge wanasikitika jitafakari mara mbili.
Nimefuatilia kwenye social media hata kule Hai tangu ili sakata la kusimamishwa kazi DC Lengai Ole Sabaya wanaoshangilia sana ni majambazi wa Hai na majahili wa Siasa hapa nchini yaani CHADEMA kuliko wananchi wanyonge wa Hai na wananchi Wazalendo wa Taifa hili.
Lengai Ole Sabaya sisi kwetu WanaCCM ni shujaa aliyejitoa maisha na Uhai wake kupigania CCM hata kabla hajawa Mkuu wa Wilaya. Lengai Ole Sabaya ni kati ya Vijana wachache ndani ya CCM ambao wako tayari kupoteza Uhai wao kwa kupigania maslahi ya Chama Cha Mapinduzi.
Lengai Ole Sabaya ni Shujaa Kijana na kiongozi Mahiri wa Baadae wa Chama cha Mapinduzi huko Kaskazini mwa Tanzania anachopaswa kufanya ni kutuliza akili na kujijenga ndani ya chama na kuachana na Vyeo vya Uteuzi.
Lengai Ole Sabaya atakuja kuwa moja ya Wanasiasa wakubwa katika Ukanda wa Kaskazini kama akina Edward Sokoine, Edward Lowassa na Cleopa David Msuya.
Niseme kuwa Lengai Ole Sabaya nimefahamiana naye wakati wa sakata la Bomu la Olacity ambapo Balozi wa Papa hapa nchini alinusurika kuwawa pale Arusha ambapo kijana Lengai Ole Sabaya alifanya kazi kubwa sana, namtambua kuwa ni kijana Jasiri na Mzalendo kwa Taifa lake.
Pamoja na kwamba baada ya kupata Ukuu wa Wilaya aligeuka na kutengenezea watu Majungu na mimi ni wahanga wa Lengai Ole Sabaya kwa Wasaidizi wa Rais Ikulu na kutaka kunichonganisha na Hayati Dr. John Pombe Joseph Magufuli mimi binafsi niliamua kumsamehe na kumuachia Mungu lakini hiyo tu haiondoi ukweli kwangu kuwa Lengai Ole Sabaya kwetu wanaccm anabaki kuwa Shujaa na Kijana mpambanaji Kweli kweli.
Kusimamishwa kwa Uchunguzi siyo mwisho wa siasa nakumbuka aliyekuwa Katibu wa CCM mkoa wa Morogoro Comred Shaka Hamdu alisimamishwa kwa Uchunguzi kwa Tuhuma za Uongo aliyopandikiziwa na wabaya wake wa Kisiasa, baada ya uchunguzi akaonekana hana hatia Leo hii ndiyo Katibu Mwenezi wetu Taifa.
Mara nyingi wanasiasa Mashupavu kama akina Shaka na Lengai Ole Sabaya wanapitia katika masahibu mengi sana hata kufungwa jela hata kunusurika kuuwawa lakini hiyo haiwezi kuzima ndoto zao za kupigania vitu wanavyoviamini.
Mapambano ya Kisiasa ni kufa na Kupona wakati mwingine hata kupoteza Maisha.
Viongozi wetu chama lazima watambue kuwa hakuna siku wapinzani wa CCM watamfurahia kiongozi shupavu wa CCM, viongozi wetu wa chama watambue kuwalinda vijana wanaopigania chama kwa gharama yoyote ili kuwatia Moyo vijana wengine wanaopigania chama kama kuna changamoto za Kimaadili chama chetu kina idara maalum ya Usalama na Maadili kwa Viongozi na wanachama wake warekebishane huko.
Kusimamishwa kazi kwa Lengai Ole Sabaya inawezekana ikawa ni njia Bora zaidi ya Kumuhimarisha kisiasa.
Kosa alilofanya Lengai Ole Sabaya hakujitambua kuwa Yeye ni Kiongozi wa Umma na hakupaswa kwenda kwenye Media kuongea mambo yake Binafsi badala ya mambo yanayohusu masuala ya serikali tu.
Kosa ili wamefanya viongozi wengi wa awamu ya Rais Magufuli, ukiwa kiongozi wa Umma kuna mambo hupaswi kuongea na vyombo vya habari bila idhini wa viongozi wako.
Hapa Lengai Ole Sabaya alikosea na Mimi niliposikia ile Interview yake niliona makosa makubwa sana.
Nadhani Viongozi wetu wa chama na serikali wataliangalia ili Suala la Lengai Ole Sabaya kwa mapana makubwa ya Kisiasa za Mikoa ya Kilimanjaro na Arusha na kufanya maamuzi ya Busara kwa Manufaa ya CCM.
Eid Mubarak.
Kwenye kipengele No.6 amekiri kwamba kuna watu "aliwapoteza".Mbona umesahau Kumsifia kwa Ukatili na Utekaji Watu
Mama akimrudisha huyo mtu kwenye utumishi wa umma hataeleweka kamwe.Sabaya alikuwa jambazi aliyepewa ofisi za umma kupora kwa kisingizio Cha kutetea wanyongeComrade Mwakibinga heshima kwako. Ole Sabaya amegraduate sasa kuna kitu anaongeza kwenye akili ili awe imara zaidi.
Waache nyumbu washangilie hawajuagi kitu.
Inawezekana alimwambia mwendazake yote haya yanamigharimu kwa kazi ya kumng’oa Mbowe Hai.Mama akimrudisha huyo mtu kwenye utumishi wa umma hataeleweka kamwe.Sabaya alikuwa jambazi aliyepewa ofisi za umma kupora kwa kisingizio Cha kutetea wanyonge
"hai ina kundi la wafanyabiashara wakwepa kodi", "hai inaongoza kwa mafisadi "Hai ni wilaya iliyojaa ufisadi mkubwa ktk mkoa wa Kilimanjaro na ndo hao waliathirika Sana na mfumo uliopita.hai ina kundi la wafanyabiashara ambao kwao Kodi ni haramu na biashara halali kwao hailipi.Hai imewakamata vijana wengi wa kitz na kuwaaminisha kuwa wao wanadhulumiwa na mifumo.Hai kuna kila aina ya uozo,ufisadi,uzandiki unaofanywa na kikundi kidogo Cha mataikuni ambacho chenyewe kinataka kifanye kila kitu bila kuguswa bila kujali kinafuata Sheria au hakifuati Sheria na kakikundi haji ka watu wachache wa hai ndiko kwao sabaya alikuwa Kama adui mkubwa kwao ni kea sababu tu alisimamia utawala wa Sheria na haki.Hivyo yatasemwa mengi lkn ukweli kwa watu wanaofahamu utabaki Kama ulivyo.Shida ya watz wengi si mtu Bali ni watu ambao kwao binadamu si kitu Sana Bali Mali ndo msingi na kwao ni vigumu kuamini kuwa watu ndo chanzo Cha maisha yao.kwao hata Kama watu wakifa ni sawa lkn maisha yao yaendelee bila kuguswa.kwao maskini si kitu Bali wao ni kitu.hiyo ndo shida yao kubwa.
Weka ushahidi Sasa hivi maana anachunguzwa kwa huzo tuhuma. Siyo hukumu ikitoka ulalamike kwamba Haki haijatendeka wakati una ushahidi na umenyamaza.Kuna watu walilipwa hela nyingi Sana wamsaafishe BILIONEA SABAYA tatizo imeshindikana.Yule jamaa kawa BILIONEA kwa pesa za zulima.Ipo siku tutaweka ushahidi.na hapo ndo mtaumbika nyinyi watetea uovu.
aisee kumbe ni huyu mwamba.Mwakibinga mimi nakuelewa maana ulikuwa mtu makini sana enzi tuko pale UDOM ulisimamia ukweli, lakini mwisho hakupata lolote uliishia kuwa loser.
Pole sana, sasa hivi umeamua kujikomba komba labda utapata chochote. Pole mwakibinga
kwa hiyo ushujaa wake ni kumkomesha mbowe? as if mbowe enemy of state?HAYA NDIO MAKOSA MAKUBWA YA OLE SABAYA.
Kosa la Power Lensabaya Pale Hai ni kurejesha Ardhi ya Waislam waliyoporwa na Matajiri wa Hai na kuirudisha kwa Bakwata,
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kurejesha Mashamba ya Ushirika iliyoporwa na matajiri wa Hai na kuwapa wananchi wanyonge walime na kujipatia mlo wao badala ya kukodishwa na Matajiri.
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kufukua mapango ya majambazi wa Magari Arusha, Moshi, Mererani na Dar es salaam yaliyokuwa yanajificha wilayani Hai, Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuwarejeshea Waalimu wanyonge waliyodhulumiwa Pesa zao na Qnet,
Kosa la Lengai ole Sabaya ni kuwapigania wananchi wanyonge waliyoporwa Ardhi yao pale Hai na matajiri wa Kimachame,
Kosa la Lengai ole Sabaya ni kurejesha Jimbo la Hai, Halmashauri ya Wilaya na Halmashauri ya Vijiji mikononi mwa CCM, Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuongeza makusanyo ya Kodi ya TRA na Kodi ya Halmashauri ya Wilaya na kuwadhibiti wakwepa Kodi huko Hai,
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuwafanya Wananchi wa Hai waishi bila hofu ya Ujambazi.
Sasa Kama huu ndiyo Ujambazi wa Lengai Ole Sabaya basi tunawahitaji majambazi wengi zaidi wa aina hii hapa Tanzania ili tuweze kusonga Mbele.
Watalaam wa Utambuzi wanasema ukimwahamisha OCD au Mkuu wa Kituo halafu wanaoshangilia sana ni wahalifu halafu wananchi wanyonge wanasikitika Jitafakari mara Mbili.
Nimefuatilia kwenye social media hata kule Hai tangu ili sakata la kusimamishwa kazi DC Lengai Ole Sabaya wanaoshangilia sana ni Majambazi wa Hai na majahili wa Siasa hapa nchini yaani Chadema kuliko wananchi wanyonge wa Hai na wananchi Wazalendo wa Taifa hili.
Lengai Ole Sabaya sisi kwetu wanaccm ni shujaa aliyejitoa maisha na Uhai wake kupigania CCM hata kabla hajawa Mkuu wa Wilaya
Lengai ole Sabaya ni kati ya vijana wachache ndani ya CCM ambao wako tayari kupoteza Uhai wao kwa kupigania maslahi ya Chama Cha Mapinduzi
Lengai Ole Sabaya ni Shujaa Kijana na kiongozi Mahiri wa Baadae wa Chama cha Mapinduzi huko Kaskazini mwa Tanzania anachopaswa kufanya ni kutuliza akili na kujijenga ndani ya chama na kuachana na Vyeo vya Uteuzi. ..Lengai Ole Sabaya atakuja kuwa moja ya Wanasiasa wakubwa katika Ukanda wa Kaskazini kama akina Edward Sokoine, Edward Lowassa na Cleopa David Msuya.
Niseme kuwa Lengai Ole Sabaya nimefahamiana naye wakati wa sakata la Bomu la Olacity ambapo Balozi wa Papa hapa nchini alinusurika kuwawa pale Arusha ambapo kijana Lengai Ole Sabaya alifanya kazi kubwa sana, namtambua kuwa ni kijana Jasiri na Mzalendo kwa Taifa lake.
Pamoja na kwamba baada ya kupata Ukuu wa Wilaya aligeuka na kutengenezea watu Majungu na mimi ni wahanga wa Lengai Ole Sabaya kwa Wasaidizi wa Rais Ikulu na kutaka kunichonganisha na Hayati Dr.John Pombe Joseph Magufuli mimi binafsi niliamua kumsamehe na kumuachia Mungu lakini hiyo tu haiondoi ukweli kwangu kuwa Lengai Ole Sabaya kwetu wanaccm anabaki kuwa Shujaa na Kijana mpambanaji Kwelikweli.
Kusimamishwa kwa Uchunguzi siyo mwisho wa siasa nakumbuka aliyekuwa Katibu wa CCM mkoa wa Morogoro Comred Shaka Hamdu alisimamishwa kwa Uchunguzi kwa Tuhuma za Uongo aliyopandikiziwa na wabaya wake wa Kisiasa, baada ya uchunguzi akaonekana hana hatia Leo hii ndiyo Katibu Mwenezi wetu Taifa.
Mara nyingi wanasiasa Mashupavu kama akina Shaka na Lengai Ole Sabaya wanapitia katika masahibu mengi sana hata kufungwa jela hata kunusurika kuuwawa lakini hiyo haiwezi kuzima ndoto zao za kupigania vitu wanavyoviamini...Mapambano ya Kisiasa ni kufa na Kupona wakati mwingine hata kupoteza Maisha.
Viongozi wetu chama lazima watambue kuwa hakuna siku wapinzani wa CCM watamfurahia kiongozi shupavu wa CCM, viongozi wetu wa chama watambue kuwalinda vijana wanaopigania chama kwa gharama yoyote ili kuwatia Moyo vijana wengine wanaopigania chama kama kuna changamoto za Kimaadili chama chetu kina idara maalum ya Usalama na Maadili kwa Viongozi na wanachama wake warekebishane huko...Kusimamishwa kazi kwa Lengai Ole Sabaya inawezekana ikawa ni njia Bora zaidi ya Kumuimarisha kisiasa.