Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Moderator kuna mtu anavunja sheria hukuMbona nyuzi hizi mnazirudisharudisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moderator kuna mtu anavunja sheria hukuMbona nyuzi hizi mnazirudisharudisha
Goodness meHAYA NDIO MAKOSA MAKUBWA YA OLE SABAYA.
Kosa la Power Lensabaya Pale Hai ni kurejesha Ardhi ya Waislam waliyoporwa na Matajiri wa Hai na kuirudisha kwa Bakwata,
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kurejesha Mashamba ya Ushirika iliyoporwa na matajiri wa Hai na kuwapa wananchi wanyonge walime na kujipatia mlo wao badala ya kukodishwa na Matajiri.
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kufukua mapango ya majambazi wa Magari Arusha, Moshi, Mererani na Dar es salaam yaliyokuwa yanajificha wilayani Hai, Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuwarejeshea Waalimu wanyonge waliyodhulumiwa Pesa zao na Qnet,
Kosa la Lengai ole Sabaya ni kuwapigania wananchi wanyonge waliyoporwa Ardhi yao pale Hai na matajiri wa Kimachame,
Kosa la Lengai ole Sabaya ni kurejesha Jimbo la Hai, Halmashauri ya Wilaya na Halmashauri ya Vijiji mikononi mwa CCM, Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuongeza makusanyo ya Kodi ya TRA na Kodi ya Halmashauri ya Wilaya na kuwadhibiti wakwepa Kodi huko Hai,
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuwafanya Wananchi wa Hai waishi bila hofu ya Ujambazi.
Sasa Kama huu ndiyo Ujambazi wa Lengai Ole Sabaya basi tunawahitaji majambazi wengi zaidi wa aina hii hapa Tanzania ili tuweze kusonga Mbele.
Watalaam wa Utambuzi wanasema ukimwahamisha OCD au Mkuu wa Kituo halafu wanaoshangilia sana ni wahalifu halafu wananchi wanyonge wanasikitika Jitafakari mara Mbili.
Nimefuatilia kwenye social media hata kule Hai tangu ili sakata la kusimamishwa kazi DC Lengai Ole Sabaya wanaoshangilia sana ni Majambazi wa Hai na majahili wa Siasa hapa nchini yaani Chadema kuliko wananchi wanyonge wa Hai na wananchi Wazalendo wa Taifa hili.
Lengai Ole Sabaya sisi kwetu wanaccm ni shujaa aliyejitoa maisha na Uhai wake kupigania CCM hata kabla hajawa Mkuu wa Wilaya
Lengai ole Sabaya ni kati ya vijana wachache ndani ya CCM ambao wako tayari kupoteza Uhai wao kwa kupigania maslahi ya Chama Cha Mapinduzi
Lengai Ole Sabaya ni Shujaa Kijana na kiongozi Mahiri wa Baadae wa Chama cha Mapinduzi huko Kaskazini mwa Tanzania anachopaswa kufanya ni kutuliza akili na kujijenga ndani ya chama na kuachana na Vyeo vya Uteuzi. ..Lengai Ole Sabaya atakuja kuwa moja ya Wanasiasa wakubwa katika Ukanda wa Kaskazini kama akina Edward Sokoine, Edward Lowassa na Cleopa David Msuya.
Niseme kuwa Lengai Ole Sabaya nimefahamiana naye wakati wa sakata la Bomu la Olacity ambapo Balozi wa Papa hapa nchini alinusurika kuwawa pale Arusha ambapo kijana Lengai Ole Sabaya alifanya kazi kubwa sana, namtambua kuwa ni kijana Jasiri na Mzalendo kwa Taifa lake.
Pamoja na kwamba baada ya kupata Ukuu wa Wilaya aligeuka na kutengenezea watu Majungu na mimi ni wahanga wa Lengai Ole Sabaya kwa Wasaidizi wa Rais Ikulu na kutaka kunichonganisha na Hayati Dr.John Pombe Joseph Magufuli mimi binafsi niliamua kumsamehe na kumuachia Mungu lakini hiyo tu haiondoi ukweli kwangu kuwa Lengai Ole Sabaya kwetu wanaccm anabaki kuwa Shujaa na Kijana mpambanaji Kwelikweli.
Kusimamishwa kwa Uchunguzi siyo mwisho wa siasa nakumbuka aliyekuwa Katibu wa CCM mkoa wa Morogoro Comred Shaka Hamdu alisimamishwa kwa Uchunguzi kwa Tuhuma za Uongo aliyopandikiziwa na wabaya wake wa Kisiasa, baada ya uchunguzi akaonekana hana hatia Leo hii ndiyo Katibu Mwenezi wetu Taifa.
Mara nyingi wanasiasa Mashupavu kama akina Shaka na Lengai Ole Sabaya wanapitia katika masahibu mengi sana hata kufungwa jela hata kunusurika kuuwawa lakini hiyo haiwezi kuzima ndoto zao za kupigania vitu wanavyoviamini...Mapambano ya Kisiasa ni kufa na Kupona wakati mwingine hata kupoteza Maisha.
Viongozi wetu chama lazima watambue kuwa hakuna siku wapinzani wa CCM watamfurahia kiongozi shupavu wa CCM, viongozi wetu wa chama watambue kuwalinda vijana wanaopigania chama kwa gharama yoyote ili kuwatia Moyo vijana wengine wanaopigania chama kama kuna changamoto za Kimaadili chama chetu kina idara maalum ya Usalama na Maadili kwa Viongozi na wanachama wake warekebishane huko...Kusimamishwa kazi kwa Lengai Ole Sabaya inawezekana ikawa ni njia Bora zaidi ya Kumuimarisha kisiasa.
K kabisa.HAYA NDIO MAKOSA MAKUBWA YA OLE SABAYA.
Kosa la Power Lensabaya Pale Hai ni kurejesha Ardhi ya Waislam waliyoporwa na Matajiri wa Hai na kuirudisha kwa Bakwata,
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kurejesha Mashamba ya Ushirika iliyoporwa na matajiri wa Hai na kuwapa wananchi wanyonge walime na kujipatia mlo wao badala ya kukodishwa na Matajiri.
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kufukua mapango ya majambazi wa Magari Arusha, Moshi, Mererani na Dar es salaam yaliyokuwa yanajificha wilayani Hai, Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuwarejeshea Waalimu wanyonge waliyodhulumiwa Pesa zao na Qnet,
Kosa la Lengai ole Sabaya ni kuwapigania wananchi wanyonge waliyoporwa Ardhi yao pale Hai na matajiri wa Kimachame,
Kosa la Lengai ole Sabaya ni kurejesha Jimbo la Hai, Halmashauri ya Wilaya na Halmashauri ya Vijiji mikononi mwa CCM, Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuongeza makusanyo ya Kodi ya TRA na Kodi ya Halmashauri ya Wilaya na kuwadhibiti wakwepa Kodi huko Hai,
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuwafanya Wananchi wa Hai waishi bila hofu ya Ujambazi.
Sasa Kama huu ndiyo Ujambazi wa Lengai Ole Sabaya basi tunawahitaji majambazi wengi zaidi wa aina hii hapa Tanzania ili tuweze kusonga Mbele.
Watalaam wa Utambuzi wanasema ukimwahamisha OCD au Mkuu wa Kituo halafu wanaoshangilia sana ni wahalifu halafu wananchi wanyonge wanasikitika Jitafakari mara Mbili.
Nimefuatilia kwenye social media hata kule Hai tangu ili sakata la kusimamishwa kazi DC Lengai Ole Sabaya wanaoshangilia sana ni Majambazi wa Hai na majahili wa Siasa hapa nchini yaani Chadema kuliko wananchi wanyonge wa Hai na wananchi Wazalendo wa Taifa hili.
Lengai Ole Sabaya sisi kwetu wanaccm ni shujaa aliyejitoa maisha na Uhai wake kupigania CCM hata kabla hajawa Mkuu wa Wilaya
Lengai ole Sabaya ni kati ya vijana wachache ndani ya CCM ambao wako tayari kupoteza Uhai wao kwa kupigania maslahi ya Chama Cha Mapinduzi
Lengai Ole Sabaya ni Shujaa Kijana na kiongozi Mahiri wa Baadae wa Chama cha Mapinduzi huko Kaskazini mwa Tanzania anachopaswa kufanya ni kutuliza akili na kujijenga ndani ya chama na kuachana na Vyeo vya Uteuzi. ..Lengai Ole Sabaya atakuja kuwa moja ya Wanasiasa wakubwa katika Ukanda wa Kaskazini kama akina Edward Sokoine, Edward Lowassa na Cleopa David Msuya.
Niseme kuwa Lengai Ole Sabaya nimefahamiana naye wakati wa sakata la Bomu la Olacity ambapo Balozi wa Papa hapa nchini alinusurika kuwawa pale Arusha ambapo kijana Lengai Ole Sabaya alifanya kazi kubwa sana, namtambua kuwa ni kijana Jasiri na Mzalendo kwa Taifa lake.
Pamoja na kwamba baada ya kupata Ukuu wa Wilaya aligeuka na kutengenezea watu Majungu na mimi ni wahanga wa Lengai Ole Sabaya kwa Wasaidizi wa Rais Ikulu na kutaka kunichonganisha na Hayati Dr.John Pombe Joseph Magufuli mimi binafsi niliamua kumsamehe na kumuachia Mungu lakini hiyo tu haiondoi ukweli kwangu kuwa Lengai Ole Sabaya kwetu wanaccm anabaki kuwa Shujaa na Kijana mpambanaji Kwelikweli.
Kusimamishwa kwa Uchunguzi siyo mwisho wa siasa nakumbuka aliyekuwa Katibu wa CCM mkoa wa Morogoro Comred Shaka Hamdu alisimamishwa kwa Uchunguzi kwa Tuhuma za Uongo aliyopandikiziwa na wabaya wake wa Kisiasa, baada ya uchunguzi akaonekana hana hatia Leo hii ndiyo Katibu Mwenezi wetu Taifa.
Mara nyingi wanasiasa Mashupavu kama akina Shaka na Lengai Ole Sabaya wanapitia katika masahibu mengi sana hata kufungwa jela hata kunusurika kuuwawa lakini hiyo haiwezi kuzima ndoto zao za kupigania vitu wanavyoviamini...Mapambano ya Kisiasa ni kufa na Kupona wakati mwingine hata kupoteza Maisha.
Viongozi wetu chama lazima watambue kuwa hakuna siku wapinzani wa CCM watamfurahia kiongozi shupavu wa CCM, viongozi wetu wa chama watambue kuwalinda vijana wanaopigania chama kwa gharama yoyote ili kuwatia Moyo vijana wengine wanaopigania chama kama kuna changamoto za Kimaadili chama chetu kina idara maalum ya Usalama na Maadili kwa Viongozi na wanachama wake warekebishane huko...Kusimamishwa kazi kwa Lengai Ole Sabaya inawezekana ikawa ni njia Bora zaidi ya Kumuimarisha kisiasa.
Tumuachieni Mama afanye Kazi yake.HAYA NDIO MAKOSA MAKUBWA YA OLE SABAYA.
Kosa la Power Lensabaya Pale Hai ni kurejesha Ardhi ya Waislam waliyoporwa na Matajiri wa Hai na kuirudisha kwa Bakwata,
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kurejesha Mashamba ya Ushirika iliyoporwa na matajiri wa Hai na kuwapa wananchi wanyonge walime na kujipatia mlo wao badala ya kukodishwa na Matajiri.
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kufukua mapango ya majambazi wa Magari Arusha, Moshi, Mererani na Dar es salaam yaliyokuwa yanajificha wilayani Hai, Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuwarejeshea Waalimu wanyonge waliyodhulumiwa Pesa zao na Qnet,
Kosa la Lengai ole Sabaya ni kuwapigania wananchi wanyonge waliyoporwa Ardhi yao pale Hai na matajiri wa Kimachame,
Kosa la Lengai ole Sabaya ni kurejesha Jimbo la Hai, Halmashauri ya Wilaya na Halmashauri ya Vijiji mikononi mwa CCM, Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuongeza makusanyo ya Kodi ya TRA na Kodi ya Halmashauri ya Wilaya na kuwadhibiti wakwepa Kodi huko Hai,
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuwafanya Wananchi wa Hai waishi bila hofu ya Ujambazi.
Sasa Kama huu ndiyo Ujambazi wa Lengai Ole Sabaya basi tunawahitaji majambazi wengi zaidi wa aina hii hapa Tanzania ili tuweze kusonga Mbele.
Watalaam wa Utambuzi wanasema ukimwahamisha OCD au Mkuu wa Kituo halafu wanaoshangilia sana ni wahalifu halafu wananchi wanyonge wanasikitika Jitafakari mara Mbili.
Nimefuatilia kwenye social media hata kule Hai tangu ili sakata la kusimamishwa kazi DC Lengai Ole Sabaya wanaoshangilia sana ni Majambazi wa Hai na majahili wa Siasa hapa nchini yaani Chadema kuliko wananchi wanyonge wa Hai na wananchi Wazalendo wa Taifa hili.
Lengai Ole Sabaya sisi kwetu wanaccm ni shujaa aliyejitoa maisha na Uhai wake kupigania CCM hata kabla hajawa Mkuu wa Wilaya
Lengai ole Sabaya ni kati ya vijana wachache ndani ya CCM ambao wako tayari kupoteza Uhai wao kwa kupigania maslahi ya Chama Cha Mapinduzi
Lengai Ole Sabaya ni Shujaa Kijana na kiongozi Mahiri wa Baadae wa Chama cha Mapinduzi huko Kaskazini mwa Tanzania anachopaswa kufanya ni kutuliza akili na kujijenga ndani ya chama na kuachana na Vyeo vya Uteuzi. ..Lengai Ole Sabaya atakuja kuwa moja ya Wanasiasa wakubwa katika Ukanda wa Kaskazini kama akina Edward Sokoine, Edward Lowassa na Cleopa David Msuya.
Niseme kuwa Lengai Ole Sabaya nimefahamiana naye wakati wa sakata la Bomu la Olacity ambapo Balozi wa Papa hapa nchini alinusurika kuwawa pale Arusha ambapo kijana Lengai Ole Sabaya alifanya kazi kubwa sana, namtambua kuwa ni kijana Jasiri na Mzalendo kwa Taifa lake.
Pamoja na kwamba baada ya kupata Ukuu wa Wilaya aligeuka na kutengenezea watu Majungu na mimi ni wahanga wa Lengai Ole Sabaya kwa Wasaidizi wa Rais Ikulu na kutaka kunichonganisha na Hayati Dr.John Pombe Joseph Magufuli mimi binafsi niliamua kumsamehe na kumuachia Mungu lakini hiyo tu haiondoi ukweli kwangu kuwa Lengai Ole Sabaya kwetu wanaccm anabaki kuwa Shujaa na Kijana mpambanaji Kwelikweli.
Kusimamishwa kwa Uchunguzi siyo mwisho wa siasa nakumbuka aliyekuwa Katibu wa CCM mkoa wa Morogoro Comred Shaka Hamdu alisimamishwa kwa Uchunguzi kwa Tuhuma za Uongo aliyopandikiziwa na wabaya wake wa Kisiasa, baada ya uchunguzi akaonekana hana hatia Leo hii ndiyo Katibu Mwenezi wetu Taifa.
Mara nyingi wanasiasa Mashupavu kama akina Shaka na Lengai Ole Sabaya wanapitia katika masahibu mengi sana hata kufungwa jela hata kunusurika kuuwawa lakini hiyo haiwezi kuzima ndoto zao za kupigania vitu wanavyoviamini...Mapambano ya Kisiasa ni kufa na Kupona wakati mwingine hata kupoteza Maisha.
Viongozi wetu chama lazima watambue kuwa hakuna siku wapinzani wa CCM watamfurahia kiongozi shupavu wa CCM, viongozi wetu wa chama watambue kuwalinda vijana wanaopigania chama kwa gharama yoyote ili kuwatia Moyo vijana wengine wanaopigania chama kama kuna changamoto za Kimaadili chama chetu kina idara maalum ya Usalama na Maadili kwa Viongozi na wanachama wake warekebishane huko...Kusimamishwa kazi kwa Lengai Ole Sabaya inawezekana ikawa ni njia Bora zaidi ya Kumuimarisha kisiasa.
We unachonung'unikia nini hasa?? Kisa Sabaya kupigwa chini!!!??HAYA NDIO MAKOSA MAKUBWA YA OLE SABAYA.
Kosa la Power Lensabaya Pale Hai ni kurejesha Ardhi ya Waislam waliyoporwa na Matajiri wa Hai na kuirudisha kwa Bakwata,
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kurejesha Mashamba ya Ushirika iliyoporwa na matajiri wa Hai na kuwapa wananchi wanyonge walime na kujipatia mlo wao badala ya kukodishwa na Matajiri.
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kufukua mapango ya majambazi wa Magari Arusha, Moshi, Mererani na Dar es salaam yaliyokuwa yanajificha wilayani Hai, Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuwarejeshea Waalimu wanyonge waliyodhulumiwa Pesa zao na Qnet,
Kosa la Lengai ole Sabaya ni kuwapigania wananchi wanyonge waliyoporwa Ardhi yao pale Hai na matajiri wa Kimachame,
Kosa la Lengai ole Sabaya ni kurejesha Jimbo la Hai, Halmashauri ya Wilaya na Halmashauri ya Vijiji mikononi mwa CCM, Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuongeza makusanyo ya Kodi ya TRA na Kodi ya Halmashauri ya Wilaya na kuwadhibiti wakwepa Kodi huko Hai,
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuwafanya Wananchi wa Hai waishi bila hofu ya Ujambazi.
Sasa Kama huu ndiyo Ujambazi wa Lengai Ole Sabaya basi tunawahitaji majambazi wengi zaidi wa aina hii hapa Tanzania ili tuweze kusonga Mbele.
Watalaam wa Utambuzi wanasema ukimwahamisha OCD au Mkuu wa Kituo halafu wanaoshangilia sana ni wahalifu halafu wananchi wanyonge wanasikitika Jitafakari mara Mbili.
Nimefuatilia kwenye social media hata kule Hai tangu ili sakata la kusimamishwa kazi DC Lengai Ole Sabaya wanaoshangilia sana ni Majambazi wa Hai na majahili wa Siasa hapa nchini yaani Chadema kuliko wananchi wanyonge wa Hai na wananchi Wazalendo wa Taifa hili.
Lengai Ole Sabaya sisi kwetu wanaccm ni shujaa aliyejitoa maisha na Uhai wake kupigania CCM hata kabla hajawa Mkuu wa Wilaya
Lengai ole Sabaya ni kati ya vijana wachache ndani ya CCM ambao wako tayari kupoteza Uhai wao kwa kupigania maslahi ya Chama Cha Mapinduzi
Lengai Ole Sabaya ni Shujaa Kijana na kiongozi Mahiri wa Baadae wa Chama cha Mapinduzi huko Kaskazini mwa Tanzania anachopaswa kufanya ni kutuliza akili na kujijenga ndani ya chama na kuachana na Vyeo vya Uteuzi. ..Lengai Ole Sabaya atakuja kuwa moja ya Wanasiasa wakubwa katika Ukanda wa Kaskazini kama akina Edward Sokoine, Edward Lowassa na Cleopa David Msuya.
Niseme kuwa Lengai Ole Sabaya nimefahamiana naye wakati wa sakata la Bomu la Olacity ambapo Balozi wa Papa hapa nchini alinusurika kuwawa pale Arusha ambapo kijana Lengai Ole Sabaya alifanya kazi kubwa sana, namtambua kuwa ni kijana Jasiri na Mzalendo kwa Taifa lake.
Pamoja na kwamba baada ya kupata Ukuu wa Wilaya aligeuka na kutengenezea watu Majungu na mimi ni wahanga wa Lengai Ole Sabaya kwa Wasaidizi wa Rais Ikulu na kutaka kunichonganisha na Hayati Dr.John Pombe Joseph Magufuli mimi binafsi niliamua kumsamehe na kumuachia Mungu lakini hiyo tu haiondoi ukweli kwangu kuwa Lengai Ole Sabaya kwetu wanaccm anabaki kuwa Shujaa na Kijana mpambanaji Kwelikweli.
Kusimamishwa kwa Uchunguzi siyo mwisho wa siasa nakumbuka aliyekuwa Katibu wa CCM mkoa wa Morogoro Comred Shaka Hamdu alisimamishwa kwa Uchunguzi kwa Tuhuma za Uongo aliyopandikiziwa na wabaya wake wa Kisiasa, baada ya uchunguzi akaonekana hana hatia Leo hii ndiyo Katibu Mwenezi wetu Taifa.
Mara nyingi wanasiasa Mashupavu kama akina Shaka na Lengai Ole Sabaya wanapitia katika masahibu mengi sana hata kufungwa jela hata kunusurika kuuwawa lakini hiyo haiwezi kuzima ndoto zao za kupigania vitu wanavyoviamini...Mapambano ya Kisiasa ni kufa na Kupona wakati mwingine hata kupoteza Maisha.
Viongozi wetu chama lazima watambue kuwa hakuna siku wapinzani wa CCM watamfurahia kiongozi shupavu wa CCM, viongozi wetu wa chama watambue kuwalinda vijana wanaopigania chama kwa gharama yoyote ili kuwatia Moyo vijana wengine wanaopigania chama kama kuna changamoto za Kimaadili chama chetu kina idara maalum ya Usalama na Maadili kwa Viongozi na wanachama wake warekebishane huko...Kusimamishwa kazi kwa Lengai Ole Sabaya inawezekana ikawa ni njia Bora zaidi ya Kumuimarisha kisiasa.
HAYA NDIO MAKOSA MAKUBWA YA OLE SABAYA.
Kosa la Power Lensabaya Pale Hai ni kurejesha Ardhi ya Waislam waliyoporwa na Matajiri wa Hai na kuirudisha kwa Bakwata,
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kurejesha Mashamba ya Ushirika iliyoporwa na matajiri wa Hai na kuwapa wananchi wanyonge walime na kujipatia mlo wao badala ya kukodishwa na Matajiri.
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kufukua mapango ya majambazi wa Magari Arusha, Moshi, Mererani na Dar es salaam yaliyokuwa yanajificha wilayani Hai, Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuwarejeshea Waalimu wanyonge waliyodhulumiwa Pesa zao na Qnet,
Kosa la Lengai ole Sabaya ni kuwapigania wananchi wanyonge waliyoporwa Ardhi yao pale Hai na matajiri wa Kimachame,
Kosa la Lengai ole Sabaya ni kurejesha Jimbo la Hai, Halmashauri ya Wilaya na Halmashauri ya Vijiji mikononi mwa CCM, Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuongeza makusanyo ya Kodi ya TRA na Kodi ya Halmashauri ya Wilaya na kuwadhibiti wakwepa Kodi huko Hai,
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuwafanya Wananchi wa Hai waishi bila hofu ya Ujambazi.
Sasa Kama huu ndiyo Ujambazi wa Lengai Ole Sabaya basi tunawahitaji majambazi wengi zaidi wa aina hii hapa Tanzania ili tuweze kusonga Mbele.
Watalaam wa Utambuzi wanasema ukimwahamisha OCD au Mkuu wa Kituo halafu wanaoshangilia sana ni wahalifu halafu wananchi wanyonge wanasikitika Jitafakari mara Mbili.
Nimefuatilia kwenye social media hata kule Hai tangu ili sakata la kusimamishwa kazi DC Lengai Ole Sabaya wanaoshangilia sana ni Majambazi wa Hai na majahili wa Siasa hapa nchini yaani Chadema kuliko wananchi wanyonge wa Hai na wananchi Wazalendo wa Taifa hili.
Lengai Ole Sabaya sisi kwetu wanaccm ni shujaa aliyejitoa maisha na Uhai wake kupigania CCM hata kabla hajawa Mkuu wa Wilaya
Lengai ole Sabaya ni kati ya vijana wachache ndani ya CCM ambao wako tayari kupoteza Uhai wao kwa kupigania maslahi ya Chama Cha Mapinduzi
Lengai Ole Sabaya ni Shujaa Kijana na kiongozi Mahiri wa Baadae wa Chama cha Mapinduzi huko Kaskazini mwa Tanzania anachopaswa kufanya ni kutuliza akili na kujijenga ndani ya chama na kuachana na Vyeo vya Uteuzi. ..Lengai Ole Sabaya atakuja kuwa moja ya Wanasiasa wakubwa katika Ukanda wa Kaskazini kama akina Edward Sokoine, Edward Lowassa na Cleopa David Msuya.
Niseme kuwa Lengai Ole Sabaya nimefahamiana naye wakati wa sakata la Bomu la Olacity ambapo Balozi wa Papa hapa nchini alinusurika kuwawa pale Arusha ambapo kijana Lengai Ole Sabaya alifanya kazi kubwa sana, namtambua kuwa ni kijana Jasiri na Mzalendo kwa Taifa lake.
Pamoja na kwamba baada ya kupata Ukuu wa Wilaya aligeuka na kutengenezea watu Majungu na mimi ni wahanga wa Lengai Ole Sabaya kwa Wasaidizi wa Rais Ikulu na kutaka kunichonganisha na Hayati Dr.John Pombe Joseph Magufuli mimi binafsi niliamua kumsamehe na kumuachia Mungu lakini hiyo tu haiondoi ukweli kwangu kuwa Lengai Ole Sabaya kwetu wanaccm anabaki kuwa Shujaa na Kijana mpambanaji Kwelikweli.
Kusimamishwa kwa Uchunguzi siyo mwisho wa siasa nakumbuka aliyekuwa Katibu wa CCM mkoa wa Morogoro Comred Shaka Hamdu alisimamishwa kwa Uchunguzi kwa Tuhuma za Uongo aliyopandikiziwa na wabaya wake wa Kisiasa, baada ya uchunguzi akaonekana hana hatia Leo hii ndiyo Katibu Mwenezi wetu Taifa.
Mara nyingi wanasiasa Mashupavu kama akina Shaka na Lengai Ole Sabaya wanapitia katika masahibu mengi sana hata kufungwa jela hata kunusurika kuuwawa lakini hiyo haiwezi kuzima ndoto zao za kupigania vitu wanavyoviamini...Mapambano ya Kisiasa ni kufa na Kupona wakati mwingine hata kupoteza Maisha.
Viongozi wetu chama lazima watambue kuwa hakuna siku wapinzani wa CCM watamfurahia kiongozi shupavu wa CCM, viongozi wetu wa chama watambue kuwalinda vijana wanaopigania chama kwa gharama yoyote ili kuwatia Moyo vijana wengine wanaopigania chama kama kuna changamoto za Kimaadili chama chetu kina idara maalum ya Usalama na Maadili kwa Viongozi na wanachama wake warekebishane huko...Kusimamishwa kazi kwa Lengai Ole Sabaya inawezekana ikawa ni njia Bora zaidi ya Kumuimarisha kisiasa.
Vibwengo havimtishi mamaMimi najua jambazi kuu limeshafukiwa kule chattle.....majambazi madogo(masalia) ndo haya yanatumbuliwa
WAKATI UNAMTETEA JUA PIA HAYAHAYA NDIO MAKOSA MAKUBWA YA OLE SABAYA.
Kosa la Power Lensabaya Pale Hai ni kurejesha Ardhi ya Waislam waliyoporwa na Matajiri wa Hai na kuirudisha kwa Bakwata,
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kurejesha Mashamba ya Ushirika iliyoporwa na matajiri wa Hai na kuwapa wananchi wanyonge walime na kujipatia mlo wao badala ya kukodishwa na Matajiri.
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kufukua mapango ya majambazi wa Magari Arusha, Moshi, Mererani na Dar es salaam yaliyokuwa yanajificha wilayani Hai, Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuwarejeshea Waalimu wanyonge waliyodhulumiwa Pesa zao na Qnet,
Kosa la Lengai ole Sabaya ni kuwapigania wananchi wanyonge waliyoporwa Ardhi yao pale Hai na matajiri wa Kimachame,
Kosa la Lengai ole Sabaya ni kurejesha Jimbo la Hai, Halmashauri ya Wilaya na Halmashauri ya Vijiji mikononi mwa CCM, Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuongeza makusanyo ya Kodi ya TRA na Kodi ya Halmashauri ya Wilaya na kuwadhibiti wakwepa Kodi huko Hai,
Kosa la Lengai Ole Sabaya ni kuwafanya Wananchi wa Hai waishi bila hofu ya Ujambazi.
Sasa Kama huu ndiyo Ujambazi wa Lengai Ole Sabaya basi tunawahitaji majambazi wengi zaidi wa aina hii hapa Tanzania ili tuweze kusonga Mbele.
Watalaam wa Utambuzi wanasema ukimwahamisha OCD au Mkuu wa Kituo halafu wanaoshangilia sana ni wahalifu halafu wananchi wanyonge wanasikitika Jitafakari mara Mbili.
Nimefuatilia kwenye social media hata kule Hai tangu ili sakata la kusimamishwa kazi DC Lengai Ole Sabaya wanaoshangilia sana ni Majambazi wa Hai na majahili wa Siasa hapa nchini yaani Chadema kuliko wananchi wanyonge wa Hai na wananchi Wazalendo wa Taifa hili.
Lengai Ole Sabaya sisi kwetu wanaccm ni shujaa aliyejitoa maisha na Uhai wake kupigania CCM hata kabla hajawa Mkuu wa Wilaya
Lengai ole Sabaya ni kati ya vijana wachache ndani ya CCM ambao wako tayari kupoteza Uhai wao kwa kupigania maslahi ya Chama Cha Mapinduzi
Lengai Ole Sabaya ni Shujaa Kijana na kiongozi Mahiri wa Baadae wa Chama cha Mapinduzi huko Kaskazini mwa Tanzania anachopaswa kufanya ni kutuliza akili na kujijenga ndani ya chama na kuachana na Vyeo vya Uteuzi. ..Lengai Ole Sabaya atakuja kuwa moja ya Wanasiasa wakubwa katika Ukanda wa Kaskazini kama akina Edward Sokoine, Edward Lowassa na Cleopa David Msuya.
Niseme kuwa Lengai Ole Sabaya nimefahamiana naye wakati wa sakata la Bomu la Olacity ambapo Balozi wa Papa hapa nchini alinusurika kuwawa pale Arusha ambapo kijana Lengai Ole Sabaya alifanya kazi kubwa sana, namtambua kuwa ni kijana Jasiri na Mzalendo kwa Taifa lake.
Pamoja na kwamba baada ya kupata Ukuu wa Wilaya aligeuka na kutengenezea watu Majungu na mimi ni wahanga wa Lengai Ole Sabaya kwa Wasaidizi wa Rais Ikulu na kutaka kunichonganisha na Hayati Dr.John Pombe Joseph Magufuli mimi binafsi niliamua kumsamehe na kumuachia Mungu lakini hiyo tu haiondoi ukweli kwangu kuwa Lengai Ole Sabaya kwetu wanaccm anabaki kuwa Shujaa na Kijana mpambanaji Kwelikweli.
Kusimamishwa kwa Uchunguzi siyo mwisho wa siasa nakumbuka aliyekuwa Katibu wa CCM mkoa wa Morogoro Comred Shaka Hamdu alisimamishwa kwa Uchunguzi kwa Tuhuma za Uongo aliyopandikiziwa na wabaya wake wa Kisiasa, baada ya uchunguzi akaonekana hana hatia Leo hii ndiyo Katibu Mwenezi wetu Taifa.
Mara nyingi wanasiasa Mashupavu kama akina Shaka na Lengai Ole Sabaya wanapitia katika masahibu mengi sana hata kufungwa jela hata kunusurika kuuwawa lakini hiyo haiwezi kuzima ndoto zao za kupigania vitu wanavyoviamini...Mapambano ya Kisiasa ni kufa na Kupona wakati mwingine hata kupoteza Maisha.
Viongozi wetu chama lazima watambue kuwa hakuna siku wapinzani wa CCM watamfurahia kiongozi shupavu wa CCM, viongozi wetu wa chama watambue kuwalinda vijana wanaopigania chama kwa gharama yoyote ili kuwatia Moyo vijana wengine wanaopigania chama kama kuna changamoto za Kimaadili chama chetu kina idara maalum ya Usalama na Maadili kwa Viongozi na wanachama wake warekebishane huko...Kusimamishwa kazi kwa Lengai Ole Sabaya inawezekana ikawa ni njia Bora zaidi ya Kumuimarisha kisiasa.
Tumiaga akili niambie tusi moja hapo 😄😄😄 mk$nu weMods fungia hii mutu ya facebook imevamia huku na mitusi
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app