Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Unacheka sasa ngoja ukianza kulia kesho ndo utaelewa.Soon utaambiwa serikali haina uwezo wa kulipa mishahara ukaee miezi 3 bila mishahara ndo utaelewa madhara ya udiktetaSalaam atazifikisha endapo tutakuwa hatuja paphorate (Kuitoboa)passport yake.