Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Unacheka sasa ngoja ukianza kulia kesho ndo utaelewa.Soon utaambiwa serikali haina uwezo wa kulipa mishahara ukaee miezi 3 bila mishahara ndo utaelewa madhara ya udiktetaSalaam atazifikisha endapo tutakuwa hatuja paphorate (Kuitoboa)passport yake.
Na yako pia kuna siku tutaitoboa!Salaam atazifikisha endapo tutakuwa hatuja paphorate (Kuitoboa)passport yake.
Waafrika hawana uwezo wa kujiongozaZimbabwe ilianza kwa mchezo Kama huu mwisho wake Robert Mugabe alibakia na familia yake na kuichia nchi matatizo makubwa Sana.
hahahahaha kakurupuka na mada ya kitotoNaomba hapo heading isomeke Robert and not Tobert!
Ingekuwa ya kitoto ungeweka komenti yako, hadi happy huoni Kama imekukunahizi hoja zisizo na mshiko kawadanganye vijana wenzako kijiweni sio hapa kwenye watu wazima na akili zao timamu wenye kujua mambo mazito, mnavyojitia maneno mengi as if alijipeleka huko kumbe ni matokeo ya mission yenu ku fail, nyie tulieni sindano iwaingie vizuri,maana binadamu hupanga ila na Mungu nae hupanga yake sirini
Hahahah! kama inamatatizo inatobolewa tuu maana sheria ni msumenoNa yako pia kuna siku tutaitoboa!
Serikali hii imelipa mishahara kipindi cha corona ishindwe kulipa sasa tupo kazini!? Labda hao wahuni wako ndiyo wangeshindwa kulipaUnacheka sasa ngoja ukianza kulia kesho ndo utaelewa.Soon utaambiwa serikali haina uwezo wa kulipa mishahara ukaee miezi 3 bila mishahara ndo utaelewa madhara ya udikteta
Awapi! Bado tuna jambo naye!Passport hatuna dhida naye, apewe tu!
Korona ya siku uchache tofautisha na msoto wa kutengwa na dunia kuanzia kesho mkifanya dhulumaSerikali hii imelipa mishahara kipindi cha corona ishindwe kulipa sasa tupo kazini!? Labda hao wahuni wako ndiyo wangeshindwa kulipa
Dunia ipi wewe, Kila mtu amepewa nafasi wamejinadi kwa Watanzania bila wasiwasi wowote. Watulie wapate majibu ya Watanzania, wafate Sheria na taratibu zilizowekwa. Kuwa na Uchaguzi haimanishi Sheria zisifuatwe.Korona ya siku uchache tofautisha na msoto wa kutengwa na dunia kuanzia kesho mkifanya dhuluma
Na TutamuonyeshaWatanzania tujitokeze kwa wingi tukamuadhibu msaliti wa nchi kutoka Ubeligiji kesho