Uchaguzi 2020 Asante kwa kuja; Fikisha salamu zetu kwa Robert Amsterdam na wenzake

Hili limekaaje,Yaani tundu lissu na akili zake timamu,abebe maneno ya mtu asiye na akili timamu aende kuyapeleka kwa mtu mwenye akili timamu.
Na hapa unadhihirisha ulivo na akili ndogo Sana. Just some kind of a moron. Namanisha hata hujaelewa nini kimeandikwa;
 
Dunia ipi wewe, Kila mtu amepewa nafasi wamejinadi kwa Watanzania bila wasiwasi wowote. Watulie wapate majibu ya Watanzania, wafate Sheria na taratibu zilizowekwa. Kuwa na Uchaguzi haimanishi Sheria zisifuatwe.
Ulikuwa jela nn ukupata taarifa vikwazo walivyovishinda CDM, mmezuia vyombo vya habari zikafikia kwa njia ya mitandao,
 
Na hapa unadhihirisha ulivo na akili ndogo Sana. Just some kind of a moron. Namanisha hata hujaelewa nini
Ni kweli sijaelewa na sababu ya kutoelewa ni kwasababu umeandika utopolo to the great extent
 
Ulikuwa jela nn ukupata taarifa vikwazo walivyovishinda CDM, mmezuia vyombo vya habari zikafikia kwa njia ya mitandao,
Wewe utakuwa kichaa, vyombo vya habari vipi!? Mbona kila saa mbili usku vilikuwa vikirusha habari za Wagombea wote, unakuwa Kama Kasuku ukikaririshwa na wewe unakariri. Umesahau kuwa nyie ndio mliowapa TBC dakika 10 wawe wameondoka kwenye mkutano wenu!? Leo mnalia lia Nini? Tulieni dawa iingie vizuri!
 
Ni kweli sijaelewa na sababu ya kutoelewa ni kwasababu umeandika utopolo to the great extent
Kabisa halafu ukatoka ulikotoka na kukomenti kwenye utopolo, huoni Kama wewe ni utopolo mara 1000
 
Tbc walihujumu mkutano.
 
Tbc walihujumu mkutano.
Walihujumu mkutano kivipi, yaani nyie mlitaka muwapangie nini Cha kufanya, huko sio kuingilia Uhuru wa habari. Wait Kama wenye chombo wanayo haki ya kutafuta habari na kuamua habati ipi itoke na ipi istoke!
 
Nimecoment kwa kukuchana makavu,sijacomment kusapoti utopolo wako
Kukomenti kwenye utopolo means na wewe ni utopolo square.Regardless komenti yako ni postive au negative.
 
Walihujumu mkutano kivipi, yaani nyie mlitaka muwapangie nini Cha kufanya, huko sio kuingilia Uhuru wa habari. Wait Kama wenye chombo wanayo haki ya kutafuta habari na kuamua habati ipi itoke na ipi istoke!
We ujui tbc imekuwa ni kitengo cha propaganda cha chama chakavu kutumia Kodi zetu vibaya
 
Kwa maandishi haya nachulia kusema kuwa mkeo ni chakula ya kijana wako wa kukata majani
Shukrani Bosi, bila shaka unazungumza kutokana na Personal experience. Shukrani Sana.
 
Teh teh teh, hiyo ICC mlivyoikariri teh teh, wakati hata hamjui inafanyaje kazi na kwa Mazingira gani!? Wanaserengeti Kama wanaserengeti bwana.

Wanadhani ni kama serikali za mtaa kusuluhisha mgogoro wa mipaka ya mashamba.
 
Wanadhani ni kama serikali za mtaa kusuluhisha mgogoro wa mipaka ya mashamba.
Teh teh teh, Hawa watu hadi huyu jamaa atoke Magogoni Madonda yao ya tumbo yatakuwa yamegeuka Kansa
 
Huwezi ukatenganisha dikteta na propaganda.Tafuta kitabu kinaitwa dictitors mind's uelimike
Nyie hamfanyi Propaganda beans Mkubwa, au hujaona Robert anavyoyoa povu, anataka watz wageuke vibo.....ga. watz wamegoma🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…