Uchaguzi 2020 Asante kwa kuja; Fikisha salamu zetu kwa Robert Amsterdam na wenzake

Hahaha niache na mwandiko wangu wa tecno mkuu, wewe bak na wako wa samsung
i got you, next time do not dare to give me instructions what to do and what not to do on this forum,cheers
 
Zimbabwe ilianza kwa mchezo Kama huu mwisho wake Robert Mugabe alibakia na familia yake na kuichia nchi matatizo makubwa Sana.
Hebu tukumbushe na ya Libya ya Ghadafi....ilianzaje na kuishaje!?
 
Lissu hataamini macho yake baada baada ya kesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…