who are you to tell me what to do and what not to do, pity you, your handwriting tells a lot hahahahaha
i got you, next time do not dare to give me instructions what to do and what not to do on this forum,cheersHahaha niache na mwandiko wangu wa tecno mkuu, wewe bak na wako wa samsung
niko vizuri na makini sana, sina hofuNot necessarily!!! Hamna haha ya kujitafutia stress mtoto mzuri, haya tuachie sisi tucharurane banaπππππ
Hebu tukumbushe na ya Libya ya Ghadafi....ilianzaje na kuishaje!?Zimbabwe ilianza kwa mchezo Kama huu mwisho wake Robert Mugabe alibakia na familia yake na kuichia nchi matatizo makubwa Sana.
huko hutanipata,kila kitu tunamalizana hapahapa publicI see! Basi fanya pita kule PM tuone huo uimara wakoπππ
Ni vituko kila kitu ICCTeh teh teh, hiyo ICC mlivyoikariri teh teh, wakati hata hamjui inafanyaje kazi na kwa Mazingira gani!? Wanaserengeti Kama wanaserengeti bwana.
Salaam atazifikisha endapo tutakuwa hatuja paphorate (Kuitoboa) passport yake.
Lissu hataamini macho yake baada baada ya keshoZipo taarifa ambazo wewe mwenyewe umezithibitisha kuwa mara baada ya Uchaguzi utarudi Ubelgiji, huko ulipokuwa kwa takribani miaka mitatu na kurudi siku chache kabla ya zoezi la Uchaguzi mkuu kuanza. Ni jambo jema kuwa ulijua huwezi kutoboa na ukafanya maandalizi hayo mapema...
Yaan! nimecheka sanaaaaaa. Kweli JF sehemu ya burudani. Na kweli amekili kuwa ana ticket ya kurudi hukoHizi salamu nimezipenda, yaani azifikishe kama zilivyo π π π
Salaam atazifikisha endapo tutakuwa hatuja paphorate (Kuitoboa) passport yake