Nashukuru sana kwa madr wa jf Watu8, Bubu msemaovyo, Andate, Maubero, Mzizi mkavu na wengineo walionisaidia kunitajia siku za kupata mimba ushauri wenu niliufanyia kazi na sasa natoa shukrani kwa kufanikiwa kushika mimba mbarikiwe na mwendelee kutusaidia.
Nina ombi jingine kwasababu ni mimba ya kwanza utunzaji wake, pia nina kama wiki ikifika usiku nakuwa na njaa sana hadi nakosa usingizi chakula cha usiku napendelea sana chipsi mayai au inachangiwa na kutokuwa na hamu ya kula nikila kidogo tu nashiba je iyo hali itaisha baada ya muda gani?
Nina ombi jingine kwasababu ni mimba ya kwanza utunzaji wake, pia nina kama wiki ikifika usiku nakuwa na njaa sana hadi nakosa usingizi chakula cha usiku napendelea sana chipsi mayai au inachangiwa na kutokuwa na hamu ya kula nikila kidogo tu nashiba je iyo hali itaisha baada ya muda gani?