teh teh tehhhhhhh Firstlady1, kumbuka hii ni mimba ya kwanza na imesubiriwa mnoMimba ina week harafu unapendelea kula
Mie najua ikiwa kubwa miezi sita na kuendelea ndo unakuwa na njaa sana
Hongera
teh teh tehhhhhhh firstlady1, kumbuka hii ni mimba ya kwanza na imesubiriwa mno
cc. snowhite
ha haa, hiyo hali iliwahi nipata, siku siyo nyingi.....hahahahaha kweli jf burudani
ngoja tumsubiri mtoto wetu kwa hamu
Ati watu8 !????? a a nakataaaaa.......
Woow!! Hongera sana rafiki
MadamG...nakumbuka namna ulivyokuwa na
wasiwasi siku ile uliyoweka uzi wako hapa.
Kwenye hilo la Chakula ngoja niwapishe wenzangu waliobobea hapo labda
wanaweza kuwa na maneno muafaka ya kukushauri.
teh teh tehhhhhhh Firstlady1, kumbuka hii ni mimba ya kwanza na imesubiriwa mno
cc. snowhite
Watu8 na wewe ni Dr? anyway hongera kwa ushauri hadi madam amepata ujauzito. mimba ina wiki...... siwezi kutoa ushauri wowote atleast ifikishe mwezi lol! hukawii kusema una mimba mara wageni wakaja lol!