HaaMaumivu yako pale pale
UMeona eehCAF na mm hatuja sahau kabisa.
Maumivu yako pale pale
Subiri magazeti ya leoBaada ya Timu ya wananchi kufungwa mama katoa mkeka wa Baraza la mawaziri.
Watu wamesahau kipigo cha Yanga sasa ni kujadili baraza la mawaziri.
Ajenda imehama.