Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Bundi siyo katulia ila kahamia upande wa pili.Ushindi wa Yanga ilikua kitu muhimu sana kutuliza bundi,pangechafuka pale Jangwani.
Mkuu Frank WanjiruKabla ya match ya Ngao ya Jamii,hapa kwenye Jukwaa la Michezo kulikuwa zinaletwa nyuzi za kuikashifu, kugombanisha, kuitweza na kufitinisha viongozi wa Yanga, GSM na Mashabiki wao wakiongozwa na Chizi Vitabu, Mightier, Okwi Boban Sunzu na Nyamizi.
Baada ya kipigo kutoka kwa Mayele heshima imerudi,wote wamekimbia mafichoni,na hatimae wameanza kugombana wao kwa wao.
Tabu Ipo Pale Pale.
Biashara United tu wamewatoa jasho balaaa, Simba hakuna kitu msimu huu
😂😂 Majinga kweli Simba, yaani wanauza wachezaji, wananunua mabasi, kwani mabus yanacheza uwanjaniWamenunua mabasi lakini ya kubeba wachezaji