Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Unamaanisha watanganyika ni walaaniwa?Daah Tanganyika? Uyo mtoto atakua na laana
labda kama anataka kujilipua humo ndaniLe mutuz na mange kimambi
haa haa hhaa wewe mchokozi,tayari ila yote nililipia mahariHongera wamekuja muda muafaka, mafao ya bibi tayari? 😀
wewe jamaa umenifumbua macho,lkn mama wawili huwa ananimbia dunia nzima niko peke yangu mkuukwan ww msaga sumu una asili ya asia!!!!kama ww ni m'bongo halisi hao watoto uwezekano wa kuwa wako haufiki 30% labda mkeo awe waasia!!!!,ikiwezekana anza kupunguza aibu ya baadae kwa kuacha hata majina atoe mkeo mwenyewe!!!
hawa wanyamwezi nawakubali sana,lkn wote ni meMtambuzi na Mchambuzi .
ndani itakuwa visingeli 24/7wa kiume muite MANFONGO ......wa kike WOMANFONGO hapo najua watakuzidi baba yao MSAGASUMU
aisee nikiwa namwita mwanangu hadi natetemekaZe-dudu lingine wadau watakuongezea
sasa si atakuwa anatwerk kila siku mwananguHuyo wa kike aitwe gigy money