Asante mke wangu kuniletea mapacha, wadau nisaidieni kuwapa majina (yawe ya members wa JF)

Asante mke wangu kuniletea mapacha, wadau nisaidieni kuwapa majina (yawe ya members wa JF)

NIKO SERIOUS,TENA SANA.

Hatimaye yamekuwa baada ya miezi 9 na siku kama 3 hivi,wife kaniletea mapacha wawilim, wakike na wakiume, wenye afya nzuri.

Mara ya kwanza nilifikiria kuwapa majina ya vyama viwili vikubwa vya siasa nchini lkn nilipofikiria suala la hivi vyama viwili kukosa msimamo kwenye uchaguzi uliopita kuhusu Lowassa nimeamua kuachana na huo mpango kabisa (nataka wanangu wawe na msimamo thabiti)

Kutokana na mapenzi yangu ya dhati kwa JF nimeamua kutafuta ID mbili za kufa mtu kutoka humu ndani ili niwape hawa wanangu,

Mdau majina gani hasa yatawafaa hawa mapacha wangu,maoni yenu ni muhimu sana wadau

NB:Tafadhali jina hilo lisiwe mshana jr

4de04b655cc1447b60118e5c4222ae50.jpg
Kendrick Na kloe
 
NIKO SERIOUS,TENA SANA.

Hatimaye yamekuwa baada ya miezi 9 na siku kama 3 hivi,wife kaniletea mapacha wawilim, wakike na wakiume, wenye afya nzuri.

Mara ya kwanza nilifikiria kuwapa majina ya vyama viwili vikubwa vya siasa nchini lkn nilipofikiria suala la hivi vyama viwili kukosa msimamo kwenye uchaguzi uliopita kuhusu Lowassa nimeamua kuachana na huo mpango kabisa (nataka wanangu wawe na msimamo thabiti)

Kutokana na mapenzi yangu ya dhati kwa JF nimeamua kutafuta ID mbili za kufa mtu kutoka humu ndani ili niwape hawa wanangu,

Mdau majina gani hasa yatawafaa hawa mapacha wangu,maoni yenu ni muhimu sana wadau

NB:Tafadhali jina hilo lisiwe mshana jr

4de04b655cc1447b60118e5c4222ae50.jpg
Mungu then Mkeo. Mungu kwa sababu wote wako hai na Afya njema. Mkeo kwa sababu kavumilia kukutunzia watoto tumboni bila kuwatoa. Hivyo ungeanza kwanza kumshukuru Mungu, halafu mkeo.
By the way, hongera zenu kupata twin
 
Mungu then Mkeo. Mungu kwa sababu wote wako hai na Afya njema. Mkeo kwa sababu kavumilia kukutunzia watoto tumboni bila kuwatoa. Hivyo ungeanza kwanza kumshukuru Mungu, halafu mkeo.
By the way, hongera zenu kupata twin
nmekuelewa CHAZA nilijisahau kidogo
 
NIKO SERIOUS,TENA SANA.

Hatimaye yamekuwa baada ya miezi 9 na siku kama 3 hivi,wife kaniletea mapacha wawilim, wakike na wakiume, wenye afya nzuri.

Mara ya kwanza nilifikiria kuwapa majina ya vyama viwili vikubwa vya siasa nchini lkn nilipofikiria suala la hivi vyama viwili kukosa msimamo kwenye uchaguzi uliopita kuhusu Lowassa nimeamua kuachana na huo mpango kabisa (nataka wanangu wawe na msimamo thabiti)

Kutokana na mapenzi yangu ya dhati kwa JF nimeamua kutafuta ID mbili za kufa mtu kutoka humu ndani ili niwape hawa wanangu,

Mdau majina gani hasa yatawafaa hawa mapacha wangu,maoni yenu ni muhimu sana wadau

NB:Tafadhali jina hilo lisiwe mshana jr

4de04b655cc1447b60118e5c4222ae50.jpg
Ndugu majina hayapangwi ovyo ovyo kwa watoto inatakiwa ujue wasifu wa jina kabla ya kumpa mtoto kwani majina yanaweza kumletea athari mwanao au faida . majina mengine yanatumika kama kumbukumbu ya jambo fulani hasa zuri kwani wengi hawapendi kukumbuka mabaya,yapo majina yenye kusifu ibada za Ki Mungu au kishetani,yapo majina ya manabii, watakatifu, maajabu au matukio yaliyowahi kutokea haijalishi mazuri au mabaya ambayo wahusika waliona ni vyema kuwapa majina watoto wao kama sehemu ya kumbukumbu . Angalia jina la asili katika kabila lenu au ukoo wenu kisha wape wanao pia unaweza kutumia majina yaliyopo kwenye Bible au Msaafu kutokana na imani yako ili uwapatie wanao majina mazuri pia kama ni mpagani tafuta majina ambayo unahisi yataendana na imani yako hata majina ya miti shamba unaweza kuwapa tu kama akili yako itakutuma
 
NIKO SERIOUS,TENA SANA.

Hatimaye yamekuwa baada ya miezi 9 na siku kama 3 hivi,wife kaniletea mapacha wawilim, wakike na wakiume, wenye afya nzuri.

Mara ya kwanza nilifikiria kuwapa majina ya vyama viwili vikubwa vya siasa nchini lkn nilipofikiria suala la hivi vyama viwili kukosa msimamo kwenye uchaguzi uliopita kuhusu Lowassa nimeamua kuachana na huo mpango kabisa (nataka wanangu wawe na msimamo thabiti)

Kutokana na mapenzi yangu ya dhati kwa JF nimeamua kutafuta ID mbili za kufa mtu kutoka humu ndani ili niwape hawa wanangu,

Mdau majina gani hasa yatawafaa hawa mapacha wangu,maoni yenu ni muhimu sana wadau

NB:Tafadhali jina hilo lisiwe mshana jr

4de04b655cc1447b60118e5c4222ae50.jpg

Waki ume namba jina proffessor Ibrahim
 
Hongera ila naona wamekaa kikorea korea,usiwape majina bhana achana na mambo ya majina hayana ishu wala nini.
 
Back
Top Bottom