Ushindi wa Simba kesho ni uhakika kwasababu moja tu. MO NI BINGWA WA MIKAKATI NJE YA UWANJA.
Kuna taarifa nzuri sana kuwa tayari ameshamalizana na wachezaji waliokwenda kuzitumikia timu zao za taifa, hivyo kamati ya ufundi ilitumia furusa hiyo kuwafuata hukohuko kwao DRC, Mali, Burkina Faso, Uganda, Zambia na IvoryCoast. Kuhusu Marefarii tayari maelekezo yameshatolewa na Karia.
KESHO USHINDI NI LAZIMA KWA SIMBA
Kuna taarifa nzuri sana kuwa tayari ameshamalizana na wachezaji waliokwenda kuzitumikia timu zao za taifa, hivyo kamati ya ufundi ilitumia furusa hiyo kuwafuata hukohuko kwao DRC, Mali, Burkina Faso, Uganda, Zambia na IvoryCoast. Kuhusu Marefarii tayari maelekezo yameshatolewa na Karia.
KESHO USHINDI NI LAZIMA KWA SIMBA