Asante Mungu kwa kuniumba mwanaume

Sasa mbona mnawataka wao wakubali wakati hata ingekuwa ninyi msingekubali??
Wakubali tu hakuna namna maana tayari wameishaumbwa wanawake....wat0mbwe tu mpaka kieleweke.
 
Hio ni kazi yangu mwanaume.. Swali kwako je Kama ni mtu na elimu na ujuzi wake anataka na yeye aajiriwe ajiingizie kipato atoe mchango wake angalau kdogo unadhani itakuwa sawa nimkataze nimwambie ajifungie nyumban?
Hapana na wewe unatakiwa ujiongeze umsaidie majukumu yake japo mara moja moja dunia imebadilika na wala hautapungukiwa kitu ukifanya hivyo
 
Kaka mkubwa hapa kuna tatizo. kaka mkubwa ungeishia kwenye kichwa cha uzi wako bila kuweka hayo maneno,uzi ungekuwa bora sana.

Huu mtazamo wangu tu.
 
Wayahudi (jinsia ya kiume) zamani walikuwa na sala waliyokuwa wakisali kila waamkapo asubuhi kumshukuru Mungu kwa kuwaumba wa kiume.
na wanawake wanasali, " asante Mungu kwa kuniumba jinsi nilivyo".
 
Mmm basi ningekuwa toom boy mwanzo mwisho
Homones zingekubadilisha tu nakufanana na jinsi yako, kama sasa ulivyo mwanaume unaongozwa na homones za kiume hivyo huoni tabu kuwa mwanaume, hata hao wanawake wanaongozwa na homones za kike hivyo hujikubali kwa uwanawake wao
 
Umeona kazi hiyo[emoji2][emoji2]
Mkuu umewaza vizuri sana. Sipati picha ningekuwa mwanamke halafu limwanaume linaniinamisha. Bora ningechagua kuwa sister wa kanisa katoliki.
 
Fact
 
Basi nitajigeuza tom boy na sitoi ng'oo
Kumbuka tunapokezana next life ukirudi hapa Duniani baada ya kufa Mungu anakurudisha kama Mwanamke na pia utamshukuru sana kwa kukuumba Mwanamke!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…