yitzhak
JF-Expert Member
- Jul 3, 2019
- 616
- 853
Huwa najiona MTU mwenye bahati kumtazama mchezaji bora zaidi kuwahi kutokea duniani
Toka anakaribishwa uwanjani na Gaucho miaka zaidi ya kumi imepita ila sijawahi kuona hata siku moja yeye akicheza vibaya,sijawahi kuona akimpa adui pasi,sijawahi kuona apige golini maratatu na akose goli
Kabla ya messi tulikuwa na Pele kama mchezaji bora wa muda wote ila messi amekuja kuharibu kila kitu
Ewe mfalme wa soka duniani nakuhusudu sana
Kwa kumuenzi messi nitamtaja mtoto wangu jina la messi amefanya makubwa
Hakuna mchezaji hata mmoja anayeweza kumsogelea messi katika kizazi hiki tulichonacho
Messi hata ukistaafu mpira kesho hakuna ninachokudai
Messi The GOAT
Toka anakaribishwa uwanjani na Gaucho miaka zaidi ya kumi imepita ila sijawahi kuona hata siku moja yeye akicheza vibaya,sijawahi kuona akimpa adui pasi,sijawahi kuona apige golini maratatu na akose goli
Kabla ya messi tulikuwa na Pele kama mchezaji bora wa muda wote ila messi amekuja kuharibu kila kitu
Ewe mfalme wa soka duniani nakuhusudu sana
Kwa kumuenzi messi nitamtaja mtoto wangu jina la messi amefanya makubwa
Hakuna mchezaji hata mmoja anayeweza kumsogelea messi katika kizazi hiki tulichonacho
Messi hata ukistaafu mpira kesho hakuna ninachokudai
Messi The GOAT