ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #21
Yaani Jumamosi ndio wanaenda kuweka Saini tayari ujenzi kuanza wewe unataka picha π€£π€£π€£πweka picha ya hiyo stendi mkuu tafadhali
Machadema wasio na akiliKwanini mlipopowa mawe JK?
Jibu swaliNyie Machademo wapinga maendeleo hamna Chenu Mbeya Kwa Sasa
Picture ya njia nne naitaka sasaWewe unaishi Mbeya ya wapi ambako haijaanza kujengwa? Au unasimuliwa tuu? Nikuoneshe progress?
Wewe nyumbu unafugwa kama kitimoto ndio maana huelewi kitu ππPicture ya njia nne naitaka sasa
Kwani hizo pesa zangu nimeanza kuzitoa Leo? Nijipongeze Mimi ndio napanga vipaombelea ? Acha ujinga.Hizo ni pesa zako mwenyewe bro.. Jipongeze we mwenyewe kwa kodi unazolipa.
Otherwise wewe ni mkwepa kodi tu.
Mjinga ni mjinga Tu.Kwani hizo pesa zangu nimeanza kuzitoa Leo? Nijipongeze Mimi ndio napanga vipaombelea ? Acha ujinga.
Barabara za Mitaani kazi inaendelea ππ
View: https://youtu.be/U31tL4bCESc?si=Xxo4vUko45GoHZPv
Acha ujinga wewe nyumbu.Saizi mnasema mtu akitimiza wajibu wake asipongezwi atukanwe au? Mna ugonjwa wa akili ila hamjitambui tuu π€£π€£Mjinga ni mjinga Tu.
Jamani tuliishasema tangia wakati wa Magufuri,,Ujenzi wa Reli,viwanja vya ndge ,staendi za mabasi yalikuwa ni amendeleo ya vitu na siyo watu..nakushangaa sana ndugu kubadilika nakusgabukia maendeleo ya vitu badala ya kudeal ba vitu kama afya na elimuWamepita Marais wengi hapa Tanzania lakini ni Rais Samia mtoto wa Ardhi ya Kizimkazi ndio ameutendea Haki Mkoa wa Mbeya kulingana na hadhi yake.
Ilikuwa ni Kilio Cha mda mrefu Kwa Wana Mbeya ambacho hakuna aliyekisikia isipokuwa huyu mwanamke Rais Samia.
Umefanya mambo mengi sana ya kuacha alama Mkoani Mbeya,miongoni mwayo ni
1. Ujenzi wa Barabara ya Tanzam njia 4
2. Ujenzi wa Mradi mkubwa wa Maji mto Kiwira
3. Ujenzi wa Barabara za lami za Mitaa km 15
4. Ukamilishaji wa uwanja wa ndege wa Songwe na kuanza kujenzi wa cold room
5. Kuanza ujenzi wa uwanja wa Maonesho ya Kilimo 8/8 kuwa wa Kimataifa
6. Pamoja na miradi hiyo mikubwa ila kubwa kuliko ni hili la Stendi kuu ya Mkoa
My Take
Mungu azidi kukupa hekima na maisha marefu uje utujengee na uwanja mkubwa wa mpira maana watu wa Mbeya ni wanamichezo mahiri.
Tutasimulia Wajukuu alikuwepo Samia aliipa heshima Mbeya ππ
Pia soma Idadi ya miradi mikubwa inayotekelezwa na Rais Samia mkoani Mbeya
Samia anafanya yote Kwa uwiano mzuri ambao unaleta Tija.Jamani tuliishasema tangia wakati wa Magufuri,,Ujenzi wa Reli,viwanja vya ndge ,staendi za mabasi yalikuwa ni amendeleo ya vitu na siyo watu..nakushangaa sana ndugu kubadilika nakusgabukia maendeleo ya vitu badala ya kudeal ba vitu kama afya na elimu
Wanauzira sana mkoa wetu. Stand ya jiji haina tofauti na stand ya Tukuyu na Chunya. Haikuwa sawa kabisaWamepita Marais wengi hapa Tanzania lakini ni Rais Samia mtoto wa Ardhi ya Kizimkazi ndio ameutendea Haki Mkoa wa Mbeya kulingana na hadhi yake.
Ilikuwa ni Kilio Cha mda mrefu Kwa Wana Mbeya ambacho hakuna aliyekisikia isipokuwa huyu mwanamke Rais Samia.
Umefanya mambo mengi sana ya kuacha alama Mkoani Mbeya,miongoni mwayo ni
1. Ujenzi wa Barabara ya Tanzam njia 4
2. Ujenzi wa Mradi mkubwa wa Maji mto Kiwira
3. Ujenzi wa Barabara za lami za Mitaa km 15
4. Ukamilishaji wa uwanja wa ndege wa Songwe na kuanza kujenzi wa cold room
5. Kuanza ujenzi wa uwanja wa Maonesho ya Kilimo 8/8 kuwa wa Kimataifa
6. Pamoja na miradi hiyo mikubwa ila kubwa kuliko ni hili la Stendi kuu ya Mkoa
My Take
Mungu azidi kukupa hekima na maisha marefu uje utujengee na uwanja mkubwa wa mpira maana watu wa Mbeya ni wanamichezo mahiri.
Tutasimulia Wajukuu alikuwepo Samia aliipa heshima Mbeya ππ
Pia soma Idadi ya miradi mikubwa inayotekelezwa na Rais Samia mkoani Mbeya
Kuna watu wakikutana na nyuzi kama hizi ndio wanamalizia Hasira.Acha ujinga wewe nyumbu.Saizi mnasema mtu akitimiza wajibu wake asipongezwi atukanwe au? Mna ugonjwa wa akili ila hamjitambui tuu π€£π€£
Hivi hii miradi ni fedha za walipa kodi au Wafadhili/ mikopo au yeye anatoa za kwake?Wamepita Marais wengi hapa Tanzania lakini ni Rais Samia mtoto wa Ardhi ya Kizimkazi ndio ameutendea Haki Mkoa wa Mbeya kulingana na hadhi yake.
Ilikuwa ni Kilio Cha mda mrefu Kwa Wana Mbeya ambacho hakuna aliyekisikia isipokuwa huyu mwanamke Rais Samia.
Umefanya mambo mengi sana ya kuacha alama Mkoani Mbeya,miongoni mwayo ni
1. Ujenzi wa Barabara ya Tanzam njia 4
2. Ujenzi wa Mradi mkubwa wa Maji mto Kiwira
3. Ujenzi wa Barabara za lami za Mitaa km 15
4. Ukamilishaji wa uwanja wa ndege wa Songwe na kuanza kujenzi wa cold room
5. Kuanza ujenzi wa uwanja wa Maonesho ya Kilimo 8/8 kuwa wa Kimataifa
6. Pamoja na miradi hiyo mikubwa ila kubwa kuliko ni hili la Stendi kuu ya Mkoa
My Take
Mungu azidi kukupa hekima na maisha marefu uje utujengee na uwanja mkubwa wa mpira maana watu wa Mbeya ni wanamichezo mahiri.
Tutasimulia Wajukuu alikuwepo Samia aliipa heshima Mbeya ππ
Pia soma Idadi ya miradi mikubwa inayotekelezwa na Rais Samia mkoani Mbeya
Wewe unaona ni za nani? Hapo kabla kulikuwa hakuna walipakodi?Hivi hii miradi ni fedha za walipa kodi au Wafadhili/ mikopo au yeye anatoa za kwake?
Shukuruni kwa yote msitunange. Kupatwa kwa jua kulileta fursa kwenye Mbalali yetu wakati wa Magufuri. Tunamshukuru sana kwa tukio lileWanyakyusa kama mlishukuru Magu katika Kupatwa kwa..... Mtashindwa kipi nyinyi ?
Samia amerejesha heshima yetu nae tutamheshimishaWanauzira sana mkoa wetu. Stand ya jiji haina tofauti na stand ya Tukuyu na Chunya. Haikuwa sawa kabisa