Asante Rais Samia kwa stendi mpya ya kisasa Mkoa wa Mbeya. Umejenga jina lako Mbeya badala ya Kizimkazi, tutasimulia Wajukuu zetu

Asante Rais Samia kwa stendi mpya ya kisasa Mkoa wa Mbeya. Umejenga jina lako Mbeya badala ya Kizimkazi, tutasimulia Wajukuu zetu

Hizo ni pesa zako mwenyewe bro.. Jipongeze we mwenyewe kwa kodi unazolipa.

Otherwise wewe ni mkwepa kodi tu.
 
Wamepita Marais wengi hapa Tanzania lakini ni Rais Samia mtoto wa Ardhi ya Kizimkazi ndio ameutendea Haki Mkoa wa Mbeya kulingana na hadhi yake.

Ilikuwa ni Kilio Cha mda mrefu Kwa Wana Mbeya ambacho hakuna aliyekisikia isipokuwa huyu mwanamke Rais Samia.

Umefanya mambo mengi sana ya kuacha alama Mkoani Mbeya,miongoni mwayo ni

1. Ujenzi wa Barabara ya Tanzam njia 4

2. Ujenzi wa Mradi mkubwa wa Maji mto Kiwira

3. Ujenzi wa Barabara za lami za Mitaa km 15

4. Ukamilishaji wa uwanja wa ndege wa Songwe na kuanza kujenzi wa cold room

5. Kuanza ujenzi wa uwanja wa Maonesho ya Kilimo 8/8 kuwa wa Kimataifa

6. Pamoja na miradi hiyo mikubwa ila kubwa kuliko ni hili la Stendi kuu ya Mkoa


My Take
Mungu azidi kukupa hekima na maisha marefu uje utujengee na uwanja mkubwa wa mpira maana watu wa Mbeya ni wanamichezo mahiri.

Tutasimulia Wajukuu alikuwepo Samia aliipa heshima Mbeya 🙏🙏

Pia soma Idadi ya miradi mikubwa inayotekelezwa na Rais Samia mkoani Mbeya
Jamani tuliishasema tangia wakati wa Magufuri,,Ujenzi wa Reli,viwanja vya ndge ,staendi za mabasi yalikuwa ni amendeleo ya vitu na siyo watu..nakushangaa sana ndugu kubadilika nakusgabukia maendeleo ya vitu badala ya kudeal ba vitu kama afya na elimu
 
Jamani tuliishasema tangia wakati wa Magufuri,,Ujenzi wa Reli,viwanja vya ndge ,staendi za mabasi yalikuwa ni amendeleo ya vitu na siyo watu..nakushangaa sana ndugu kubadilika nakusgabukia maendeleo ya vitu badala ya kudeal ba vitu kama afya na elimu
Samia anafanya yote Kwa uwiano mzuri ambao unaleta Tija.

Huwezi jikita kwenye maendeleo ya vitu ukaacha maendeleo ya watu it becomes useless.
 
Wamepita Marais wengi hapa Tanzania lakini ni Rais Samia mtoto wa Ardhi ya Kizimkazi ndio ameutendea Haki Mkoa wa Mbeya kulingana na hadhi yake.

Ilikuwa ni Kilio Cha mda mrefu Kwa Wana Mbeya ambacho hakuna aliyekisikia isipokuwa huyu mwanamke Rais Samia.

Umefanya mambo mengi sana ya kuacha alama Mkoani Mbeya,miongoni mwayo ni

1. Ujenzi wa Barabara ya Tanzam njia 4

2. Ujenzi wa Mradi mkubwa wa Maji mto Kiwira

3. Ujenzi wa Barabara za lami za Mitaa km 15

4. Ukamilishaji wa uwanja wa ndege wa Songwe na kuanza kujenzi wa cold room

5. Kuanza ujenzi wa uwanja wa Maonesho ya Kilimo 8/8 kuwa wa Kimataifa

6. Pamoja na miradi hiyo mikubwa ila kubwa kuliko ni hili la Stendi kuu ya Mkoa


My Take
Mungu azidi kukupa hekima na maisha marefu uje utujengee na uwanja mkubwa wa mpira maana watu wa Mbeya ni wanamichezo mahiri.

Tutasimulia Wajukuu alikuwepo Samia aliipa heshima Mbeya 🙏🙏

Pia soma Idadi ya miradi mikubwa inayotekelezwa na Rais Samia mkoani Mbeya
Wanauzira sana mkoa wetu. Stand ya jiji haina tofauti na stand ya Tukuyu na Chunya. Haikuwa sawa kabisa
 
Wamepita Marais wengi hapa Tanzania lakini ni Rais Samia mtoto wa Ardhi ya Kizimkazi ndio ameutendea Haki Mkoa wa Mbeya kulingana na hadhi yake.

Ilikuwa ni Kilio Cha mda mrefu Kwa Wana Mbeya ambacho hakuna aliyekisikia isipokuwa huyu mwanamke Rais Samia.

Umefanya mambo mengi sana ya kuacha alama Mkoani Mbeya,miongoni mwayo ni

1. Ujenzi wa Barabara ya Tanzam njia 4

2. Ujenzi wa Mradi mkubwa wa Maji mto Kiwira

3. Ujenzi wa Barabara za lami za Mitaa km 15

4. Ukamilishaji wa uwanja wa ndege wa Songwe na kuanza kujenzi wa cold room

5. Kuanza ujenzi wa uwanja wa Maonesho ya Kilimo 8/8 kuwa wa Kimataifa

6. Pamoja na miradi hiyo mikubwa ila kubwa kuliko ni hili la Stendi kuu ya Mkoa


My Take
Mungu azidi kukupa hekima na maisha marefu uje utujengee na uwanja mkubwa wa mpira maana watu wa Mbeya ni wanamichezo mahiri.

Tutasimulia Wajukuu alikuwepo Samia aliipa heshima Mbeya 🙏🙏

Pia soma Idadi ya miradi mikubwa inayotekelezwa na Rais Samia mkoani Mbeya
Hivi hii miradi ni fedha za walipa kodi au Wafadhili/ mikopo au yeye anatoa za kwake?
 
Hivi hii miradi ni fedha za walipa kodi au Wafadhili/ mikopo au yeye anatoa za kwake?
Wewe unaona ni za nani? Hapo kabla kulikuwa hakuna walipakodi?

Au ukisikiw jina Samia unajawa chuki binafsi na husda ama?
 
Back
Top Bottom