pakaywatek JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 4,660 Reaction score 6,282 Mar 24, 2019 #1 Asante sana Sent using Jamii Forums mobile app
PRINCE CROWN JF-Expert Member Joined Feb 12, 2013 Posts 5,210 Reaction score 4,175 Mar 24, 2019 #2 Haaaaaaaaaa. Kuna wajinga 2 huku jukwaani walijambisha watu kwamba dk 87 lesoto kafanya yake. Tukasema ametutilia mchanga safari ya Misri. Watu tuka uzunika sana. Kumbe ni bangi zaotu.
Haaaaaaaaaa. Kuna wajinga 2 huku jukwaani walijambisha watu kwamba dk 87 lesoto kafanya yake. Tukasema ametutilia mchanga safari ya Misri. Watu tuka uzunika sana. Kumbe ni bangi zaotu.
Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 32,603 Reaction score 62,269 Mar 24, 2019 #3 Wakati wa Mungu ukifika hakuna cha kepu verde wala Lesotho