Asante sana awamu ya 5 kwa juhudi zenu za utunzaji mazingira hali inayopelekea kimbuga Jobo kishindwe

jitombashisho

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2020
Posts
667
Reaction score
2,245
Kupitia awamu ya tano ya uongozi wa kisiasa wa Hayati JPM Nchi ilishuhudia madhara madogo sana yaliyoletelezwa na Corona jambo ambalo hata kwa hatari tuliyoitarajia ya kimbuga Jobo huenda nayo isiwe na madhara tarajiwa.

Ikumbukwe kutokea tarehe 21 mwezi huu wa 4 nchi kupitia vyombo vya utabiri wa hali ya hewa Duniani ilitakiwa kujiandaa na janga kubwa la kiasili lililotarajiwa kusababishwa na kimbuga Jobo.

Habari za hakika kabisa kimbuga Jobo mara baada tu ya kuikaribia Nchi pendwa kiboko ya Corona tayari kimekutana na jeshi lijulikanalo 'UPEPO KINZANI' hali inayopelekea kimbuga Jobo apunguzwe kasi kutoka 60 kilomita kwa saa hadi 18 kilomita kwa saa.

Nichukue nafasi hii kuipongeza awamu ya tano kwa juhudi hizo za kukiwezesha kimbuga Jobo kupitia utunzaji wa mazingira kupunguzwa kasi.
 
Wale jamaa walikua washajiandaa watumie madhara ya Jobo kama ajenda ya chama chao,kwaiyo watakua wameangukia pua?
 
Wale jamaa walikua washajiandaa watumie madhara ya Jobo kama ajenda ya chama chao,kwaiyo watakua wameangukia pua?
...ilikuwa vigumu mno kimbuga Jobo kufanikiwa kufanya shughuli zake kwa utulivu hapa Tanzania.
 
Hakuna lolote la kusifia hapo , sasa hivi tupo na awamu ya sita ndiyo habari ya mujini.

Hayo mengine tupa kuleee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Your browser is not able to display this video.

Kwa mawazo kama hayo ya wapambe utarajie hata viongozi wao watakua na akili za KIMATAGA TU!

Miti imepandwa tangu enzi za mkoloni na mingine imekatwa halafu anakuja mtu kuipongeza awamu iliyoshindwa kukamilika....kama zilizopita!
 
Hilo kundi lipo kwa mkakati maalum sana na ni hatari
 
Ingekuwa enzi zile

Tungesifia sana Juhudi za Serikali zilizopelekea Upepo Kinzani kwenda kusambaratisha kasi ya Jobo
 
CORONA isitajwe kwenye kitabu chochote cha CCM.
Unasema corona haikuketa madhara makubwa wakati imevuna mti wa katikati?
 
Kama ulifikia hatua ya kujitombaashisho mwenyewe ni wazi huna akili.
 
Si matarajio ya Kimbunga ni Jumapili?
 
Utawala wa Mama uko vizuri, achana na yule mporaji wa mali za watu.

Mtu hana huruma anapora nguvu za wakulima, e.g Wakulima wa Korosho. Wakulima wale walilia machozi yalikauka na baadae wakamuachia MUNGU.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…