Asante sana awamu ya 5 kwa juhudi zenu za utunzaji mazingira hali inayopelekea kimbuga Jobo kishindwe

Asante sana awamu ya 5 kwa juhudi zenu za utunzaji mazingira hali inayopelekea kimbuga Jobo kishindwe

Kupitia awamu ya tano ya uongozi wa kisiasa wa Hayati JPM Nchi ilishuhudia madhara madogo sana yaliyoletelezwa na Corona jambo ambalo hata kwa hatari tuliyoitarajia ya kimbuga Jobo huenda nayo isiwe na madhara tarajiwa.

Ikumbukwe kutokea tarehe 21 mwezi huu wa 4 nchi kupitia vyombo vya utabiri wa hali ya hewa Duniani ilitakiwa kujiandaa na janga kubwa la kiasili lililotarajiwa kusababishwa na kimbuga Jobo.

Habari za hakika kabisa kimbuga Jobo mara baada tu ya kuikaribia Nchi pendwa kiboko ya Corona tayari kimekutana na jeshi lijulikanalo 'UPEPO KINZANI' hali inayopelekea kimbuga Jobo apunguzwe kasi kutoka 60 kilomita kwa saa hadi 18 kilomita kwa saa.

Nichukue nafasi hii kuipongeza awamu ya tano kwa juhudi hizo za kukiwezesha kimbuga Jobo kupitia utunzaji wa mazingira kupunguzwa kasi.
Kiboko ya Corona? Corona imemvuna yule dhalim.
 
Hivi ni Kimbuga au Kimbunga..niliona kwenye kichwa cha uzi nikajua shida ya uchapaji, lakini naona umeendelea tu kutaja Kimbuga..
 
Kupitia awamu ya tano ya uongozi wa kisiasa wa Hayati JPM Nchi ilishuhudia madhara madogo sana yaliyoletelezwa na Corona jambo ambalo hata kwa hatari tuliyoitarajia ya kimbuga Jobo huenda nayo isiwe na madhara tarajiwa.

Ikumbukwe kutokea tarehe 21 mwezi huu wa 4 nchi kupitia vyombo vya utabiri wa hali ya hewa Duniani ilitakiwa kujiandaa na janga kubwa la kiasili lililotarajiwa kusababishwa na kimbuga Jobo.

Habari za hakika kabisa kimbuga Jobo mara baada tu ya kuikaribia Nchi pendwa kiboko ya Corona tayari kimekutana na jeshi lijulikanalo 'UPEPO KINZANI' hali inayopelekea kimbuga Jobo apunguzwe kasi kutoka 60 kilomita kwa saa hadi 18 kilomita kwa saa.

Nichukue nafasi hii kuipongeza awamu ya tano kwa juhudi hizo za kukiwezesha kimbuga Jobo kupitia utunzaji wa mazingira kupunguzwa kasi.
Utakuwa ni hamnazo wewe... Si bure
 
Kupitia awamu ya tano ya uongozi wa kisiasa wa Hayati JPM Nchi ilishuhudia madhara madogo sana yaliyoletelezwa na Corona jambo ambalo hata kwa hatari tuliyoitarajia ya kimbuga Jobo huenda nayo isiwe na madhara tarajiwa.

Ikumbukwe kutokea tarehe 21 mwezi huu wa 4 nchi kupitia vyombo vya utabiri wa hali ya hewa Duniani ilitakiwa kujiandaa na janga kubwa la kiasili lililotarajiwa kusababishwa na kimbuga Jobo.

Habari za hakika kabisa kimbuga Jobo mara baada tu ya kuikaribia Nchi pendwa kiboko ya Corona tayari kimekutana na jeshi lijulikanalo 'UPEPO KINZANI' hali inayopelekea kimbuga Jobo apunguzwe kasi kutoka 60 kilomita kwa saa hadi 18 kilomita kwa saa.

Nichukue nafasi hii kuipongeza awamu ya tano kwa juhudi hizo za kukiwezesha kimbuga Jobo kupitia utunzaji wa mazingira kupunguzwa kasi.
Wife: How much do you love me?
Husband: My heart is a mobile and you are the sim of it.
Wife: OMG! I'm so lucky you love me so much.

She really don't know that her Husband is a dual sim.
 
Kupitia awamu ya tano ya uongozi wa kisiasa wa Hayati JPM Nchi ilishuhudia madhara madogo sana yaliyoletelezwa na Corona jambo ambalo hata kwa hatari tuliyoitarajia ya kimbuga Jobo huenda nayo isiwe na madhara tarajiwa.

Ikumbukwe kutokea tarehe 21 mwezi huu wa 4 nchi kupitia vyombo vya utabiri wa hali ya hewa Duniani ilitakiwa kujiandaa na janga kubwa la kiasili lililotarajiwa kusababishwa na kimbuga Jobo.

Habari za hakika kabisa kimbuga Jobo mara baada tu ya kuikaribia Nchi pendwa kiboko ya Corona tayari kimekutana na jeshi lijulikanalo 'UPEPO KINZANI' hali inayopelekea kimbuga Jobo apunguzwe kasi kutoka 60 kilomita kwa saa hadi 18 kilomita kwa saa.

Nichukue nafasi hii kuipongeza awamu ya tano kwa juhudi hizo za kukiwezesha kimbuga Jobo kupitia utunzaji wa mazingira kupunguzwa kasi.
Kwa wajinga wenzako.
 
Kupitia awamu ya tano ya uongozi wa kisiasa wa Hayati JPM Nchi ilishuhudia madhara madogo sana yaliyoletelezwa na Corona jambo ambalo hata kwa hatari tuliyoitarajia ya kimbuga Jobo huenda nayo isiwe na madhara tarajiwa.

Ikumbukwe kutokea tarehe 21 mwezi huu wa 4 nchi kupitia vyombo vya utabiri wa hali ya hewa Duniani ilitakiwa kujiandaa na janga kubwa la kiasili lililotarajiwa kusababishwa na kimbuga Jobo.

Habari za hakika kabisa kimbuga Jobo mara baada tu ya kuikaribia Nchi pendwa kiboko ya Corona tayari kimekutana na jeshi lijulikanalo 'UPEPO KINZANI' hali inayopelekea kimbuga Jobo apunguzwe kasi kutoka 60 kilomita kwa saa hadi 18 kilomita kwa saa.

Nichukue nafasi hii kuipongeza awamu ya tano kwa juhudi hizo za kukiwezesha kimbuga Jobo kupitia utunzaji wa mazingira kupunguzwa kasi.
Hili jukwaa linasomwa kwote East Africa, nyuzi km hizi zinatuaibisha sana watanzania kwa majirani zetu. wote tunaoneka ni viazi.... MODERATOR mpo wapi kuunganisha huu uzi ukakae katikati huko kwenye nyuzi za Pascal Mayalla ? au kuufuta kabisa & save our integrity.
 
Back
Top Bottom