Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi
Leo mtaan kulikuwa na mada iliyokuwa inahusu neno akili, aisee kilinuka mazee
Kuna jamaa alidai marehemu Ruge alikuwa na akili sana
Ndo mimi nikadakia nikasema bro akili ni nini? Na unamjuaje mtu mwenye akili? Na nan alikwambia kuna kitu kinaitwa akili?
Jamaa akaanza kujikanyaga kanyaga
Nikauteka mjadala nikawambia nyie sikien dunian hakuna kitu kinacho itwa akili maana akili ni kitu cha kutungwa ambacho kilitungwa na kaka zetu wazungu ili kujitofautisha na wengine lakin ukweli ni kwamba hakuna kitu kinachoitwa akili
Kama akili ipo nambie iko wapi na ni kitu gan
Mjadala uliendelea na ulikuwa mkali sana
Kuna wengine wakaniunga mkono wengine wakanipinga lakin walio wengi waliniunga mkono kutokana na nondo nilizokuwa nazishusha lakini nondo zote nilizokuwa nashusha ni copy and pest kutoka kwa kiranga
Asante sana
LONDON BOY
Leo mtaan kulikuwa na mada iliyokuwa inahusu neno akili, aisee kilinuka mazee
Kuna jamaa alidai marehemu Ruge alikuwa na akili sana
Ndo mimi nikadakia nikasema bro akili ni nini? Na unamjuaje mtu mwenye akili? Na nan alikwambia kuna kitu kinaitwa akili?
Jamaa akaanza kujikanyaga kanyaga
Nikauteka mjadala nikawambia nyie sikien dunian hakuna kitu kinacho itwa akili maana akili ni kitu cha kutungwa ambacho kilitungwa na kaka zetu wazungu ili kujitofautisha na wengine lakin ukweli ni kwamba hakuna kitu kinachoitwa akili
Kama akili ipo nambie iko wapi na ni kitu gan
Mjadala uliendelea na ulikuwa mkali sana
Kuna wengine wakaniunga mkono wengine wakanipinga lakin walio wengi waliniunga mkono kutokana na nondo nilizokuwa nazishusha lakini nondo zote nilizokuwa nashusha ni copy and pest kutoka kwa kiranga
Asante sana
LONDON BOY