Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
kweli nimeamini ,kisicho riziki hakiliki. niliotesha mipapai yangu miwili hapa nilipopangisha maana kuna uwanja mkubwa.yote ikaota tu vizuri .mpapai mmoja niliuotesha kwa nyuma mwenye nyumba akasema ukatwe maana wba za kuanikia nguo na hapo mpapai ulikuwa ushakuwa tu mkubwa.
Ukabaki mmoja nimeutunza wee nakumbuka ulipata ugonjwa nikaja hadi jf kuomba ushauri.nikatumia tsh 50 kuutibu na kumleta mtaalamu.kweli Mungu ni mwema mpapai ukakaa vizuri ukatoa matunda sio ya sport sport mara paap mwenye nyumba kila mara anafata mapapai,au anamuagiza kijana wa usafi kuja kuchukua.yaani nimekula hapo papai moja tu . Mi wala sikumind kiivo japo niliona sio sawa.
mara paap kunguru wakaingilia papai likiiva kidogo tu wanalila.wakaona kwa vile kunguru wanayala basi wayatoe mapema yakikomaa. wakawa wanayatoa mabichi flani.kunguru nao wajanja sasa hivi wanayala mabichi wametoboa papai zote hazifai .nasikia watakata tu huo mpapai.sijui nitanunua lini kwangu jamni Mungu saidia japo naogopa bomoa bomoa
Ukabaki mmoja nimeutunza wee nakumbuka ulipata ugonjwa nikaja hadi jf kuomba ushauri.nikatumia tsh 50 kuutibu na kumleta mtaalamu.kweli Mungu ni mwema mpapai ukakaa vizuri ukatoa matunda sio ya sport sport mara paap mwenye nyumba kila mara anafata mapapai,au anamuagiza kijana wa usafi kuja kuchukua.yaani nimekula hapo papai moja tu . Mi wala sikumind kiivo japo niliona sio sawa.
mara paap kunguru wakaingilia papai likiiva kidogo tu wanalila.wakaona kwa vile kunguru wanayala basi wayatoe mapema yakikomaa. wakawa wanayatoa mabichi flani.kunguru nao wajanja sasa hivi wanayala mabichi wametoboa papai zote hazifai .nasikia watakata tu huo mpapai.sijui nitanunua lini kwangu jamni Mungu saidia japo naogopa bomoa bomoa