Kama mwanayanga nasema asante sana molinga
TP Mazembe ni timu kubwa sana.. katika kikosi chake cha mwaka 2020 kuna mchezaji kama molinga.. mtanzania.. ana mwili mkubwa na watanzania tunamsema sana kwamba ulimwengu ni mzito , nyama uzembe na hajui mpira.
Cha kushangaza huyo huyo ulimwengu asiejua mpira...anasajiliwa na timu za maana tu.. sijui hao ma scout wajinga
Sasa kwa leo nilichokiona kwa mwili uzembe molinga...nimeelewa kwamba kwa nini Thomas ulimwengu anapendwa nje ya Tanzania huku wa tz tunamuona hajui soka..
TP Mazembe ni timu kubwa sana.. katika kikosi chake cha mwaka 2020 kuna mchezaji kama molinga.. mtanzania.. ana mwili mkubwa na watanzania tunamsema sana kwamba ulimwengu ni mzito , nyama uzembe na hajui mpira.
Cha kushangaza huyo huyo ulimwengu asiejua mpira...anasajiliwa na timu za maana tu.. sijui hao ma scout wajinga
Sasa kwa leo nilichokiona kwa mwili uzembe molinga...nimeelewa kwamba kwa nini Thomas ulimwengu anapendwa nje ya Tanzania huku wa tz tunamuona hajui soka..