Asante sana Saido Ntibazonkiza for making good to the club

Asante sana Saido Ntibazonkiza for making good to the club

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Niko Wizarani nafuatilia kuhusu ukweli wa transformation ya Simba umekomea wap zaidi ya mwaka wa tatu sasa, nakutakana na Thank you ya Saido Ntibanzokiza.

Kwangu anabakia kuwa Shujaa ndani ya Simba, ni mchezaji ambaye ametoa mchango mkubwa sana ndani ya klabu yetu kuliko mchezaji yoyote yule, takwimu zake za upachikaji mabao zinajieleza.

Ameachwa Simba kwa sababu ya pressure tu ya viongozi kutoka kwa mashabiki wenye uelewa mdogo na soka.

Wanasema Saido umri umekuwa kikwazo, wakati Madaraka Seleman mzee wa kiminyio amestaafu soka na miaka 40 na alikuwa na uwezo mkubwa t.

Jana kwenye kombe la ulaya France ikicheza na Austria, tumemuona Ngolo Kante ambaye umri umeenda akikiwasha sawasawa bila kujali umri.

Kocha wa France akamchezesha striker Giroud ambaye umri umemtupa lakini ameenda naye akiamini ana mchango.

Sisi huku tunamuona Saido ni mchovu lkn ameitumikia Simba kwa nguvu zote na hajawahi kuchoka.

Endelee kutafuta mapato Simba App lakini Jobe, Freddy Michael lazima wapewe Thank you
 
Kama ambavyo wewe unawaona kina Freddy wabovu ndio na wenzako wanamuona Saido hafai kwahiyo usidhani wewe ndio una final say na unajua kutathmini mchezaji kuwaliko wenzio hiyo ni moja lakini pili una hakika Saido ndio mchezaji bora wa simba wa wakati wote? Are you sure?
 
Kama na huyu amefikiwa kweli neema zinarudi Simba.

Unamlinganisha Madaraka au Kante na huyo Saido wakati Saido amekuja Simba wakati ni maji ya jioni na hana hata misimu miwili kamili akiwa na timu. Kibaya zaidi inasemekana mkataba wake ulikuwa unataka acheze si chini ya dk 80+.

Kuna mifano ya jinsi Simba ilikuwa inapata matokeo mazuri pale alipokuwa hayupo ikiwemo mechi ya Wydad ya 2-0.

Angekubali kuwa mchezaji wa akiba sidhani kama kuna mwanasimba ambaye angelalamika uwepo wake kwenye timu.
 
Ndo tumeanza na huyu babu wa Bujus, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaduguda kasema mkimuonyesha club ambayo imefanya usajili wa wachezaji watano na wote wakawa na kiwango cha juu kwa msimu huo huo waliosajilia, ndo atajiuzulu..!!
 
Aende tyuu huyu babu wa gundu na nuksi, kwan amechelewa sana kuondokaaa.
Mxxxxiiiiieeeew zake.
Wewe coca mbona humpendi mchezaji ambaye mchango wake umewafanya mshike nafasi ya tatu , huyu asingekuwepo lzm top 4 mgeisikikizia tu
 
Back
Top Bottom