jf bana kila mtu ana gari tena kali ,kila mtu anamjengo nyumba kali hahahahaaaaaala ukifuatilia uhalisia utakuta kumbe ni fala mmoja hivi kajificha mvua kwenye nyumba ya shemeji aliye oa dada yake hahahaaaaa.Mimi magari ninayo na sio moja tu pia sio kwa kulazimisha,
Naona kisu kimekuchoma kunako ndio maana ukatoka shimoni.
Hivi kuna tatizo gani mtu akipewa urithi? Maana watu mnakandiaga sana mali za urithi hua zina shida gani?Mkuu kwanza nakupa hongera Kwa kuwa miongoni mwa watu wanaotembea huku wamekaa.
Achana na hawa washamba wanaojivunia Mali za urithi na magari ya kuazima.
Hata Mimi Niko mbioni kuvuta ka IST kangu pure from Japan nitembelee matako na kuweka foleni.
Endelea kuamini hivyo hivyo kama imakupa faraja,mnapenda kusikia watu wanaoteseka tu ili mjifariji kua kumbe wapo na watu wengine wanaoteseka!jf bana kila mtu ana gari tena kali ,kila mtu anamjengo nyumba kali hahahahaaaaaala ukifuatilia uhalisia utakuta kumbe ni fala mmoja hivi kajificha mvua kwenye nyumba ya shemeji aliye oa dada yake hahahaaaaa.
mali za urithi hazina shida,wala kurithi mali sio dhambi,ila ni wale waliorithi labda harrier,kumdharau na kumuona mtu aliyenunua passo used,kwa kuvuja jasho sana,kuwa hana akili na ni maskini,na analazimisha kuwa na gari wakati uwezo hana,hapo ndo tatizo linaanzia.Hivi kuna tatizo gani mtu akipewa urithi? Maana watu mnakandiaga sana mali za urithi hua zina shida gani?
Sawa mkuu hapo nimekuelewa...πππmali za urithi hazina shida,wala kurithi mali sio dhambi,ila ni wale waliorithi labda harrier,kumdharau na kumuona mtu aliyenunua passo used,kwa kuvuja jasho sana,kuwa hana akili na ni maskini,na analazimisha kuwa na gari wakati uwezo hana,hapo ndo tatizo linaanzia.
Sio bei tu , bali hata upatikanaji wa spea ni rahisiNimetoka sehemu na gari yangu, kufika home nacheki tairi ya nyuma kushoto, dah yote imelowa oil
Kumwita fundi anasema ni oil ya diff, seal ya ekseli imekufa.
Nikicheki mfukoni, mambo yako ovyo vibaya sana, fundi akatoa oil seal, kwenda dukani wananiambia sh 5000/(elfu tano), nilijua labda wamekosea bei, kumbe ni sawa, nikampa fundi akafunga, nae nikampoza 5000/=, jumla nimetumia 10 tu,
Kweli kuna gari kali sana duniani, ila mwacheni toyota abaki kuwa toyota.
Mnajificha nyuma ya keyboard...gari zipi we unazo tupe plate no zake niko TRA hapa nihakikishe mmiliki na aina ya gariMimi magari ninayo na sio moja tu pia sio kwa kulazimisha,
Naona kisu kimekuchoma kunako ndio maana ukatoka shimoni.
Kwa hio ukimiliki vanguard pia ni nafuu kluger je?Sio wote wanaonunua magari wako vizuri au wana uwezo sana, kuna sababu tu mbalimbali zinafanya mtu ulazimike kuwa na gari.
Mbona fresh tu,nadhani mtoa mada alikuwa na lengo la kusifia urahisi wa kumiliki gari ya toyota,hata ikitokea mambo yamekuwa magumu unaweza kutatua tatizo la kiufundi kwa hela kidogo.
Tuache kujikweza bila sababu za msingi wakuu.una magari mengi .... si vibaya safi sana....
Hivi mtu angesema anamiliki Guta ungehoji hivi? hivi kumiliki Gari ni jambo kubwa sana eeh! Eti nipo tra! ππππMnajificha nyuma ya keyboard...gari zipi we unazo tupe plate no zake niko TRA hapa nihakikishe mmiliki na aina ya gari
Mkuu hakuna tatizo kuwa na Mali za urithi isipokuwa watu wengi wenye mkwanja mrefu wa urithi au kitonga Huwa wanadharau sana Kwa watu wa kipato cha chini au walio kwenye hustle ya kujikwamua kimaisha. Lakini mtu mwenye mkwanja alio hustle from zero to hero Huwa wana appreciate sana hustle za watu wa kipato cha chini na sometime wanakupa faraja na mbinu za kutoka kimaisha na sio kukudharau.Hivi kuna tatizo gani mtu akipewa urithi? Maana watu mnakandiaga sana mali za urithi hua zina shida gani?
Guta ni bei ghali kuliko hio taka taka funcargoHivi mtu angesema anamiliki Guta ungehoji hivi? hivi kumiliki Gari ni jambo kubwa sana eeh! Eti nipo tra! ππππ
mie wala sijajisifu bana na wala sihitaji kufanya hivyo chalii yangu.Endelea kuamini hivyo hivyo kama imakupa faraja,mnapenda kusikia watu wanaoteseka tu ili mjifariji kua kumbe wapo na watu wengine wanaoteseka!
Gari ni chombo cha usafiri tu wala sio dalili ya utajiri,acha kua na mawazo mgando.tafuta hela ili siku nyingine hivi vitu vidogo vidogo uwe unaona ni vitu vya kawaida tu na sio maajabu.
Kumbe kusema mtu una Gari ni kujisifu? Kumbe kua na Gari ni utajiri?We huna chochote zaidi ya simu yako tecno F1 matajiri huwa hatujisifu kama wewe
sasa mkuu,funcargo imekuwa takataka?mbona unatuvunja mkuu..πππGuta ni bei ghali kuliko hio taka taka funcargo
Achana na hilo choko huenda hana hata baiskelisasa mkuu,funcargo imekuwa takataka?mbona unatuvunja mkuu..[emoji6][emoji6][emoji6]