Asante sana Toyota Cars

Asante sana Toyota Cars

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kapuku ni mimi tu humu jamiiforums.

Humu kila mtu taita, kila mtu ana degree, kila mtu ana pisi kali, na kila mtu ana uume mkubwa.
Hahaha vibamia hamna .

Watu wanashindwa hata kuwaza kwanini hata watengeneza magari wameyarank kuna kubwa hadi dogo kuna cheap hadi expensive kila mtu ana haki ya kumiliki gari,linakuja suala la gari gani vegezo vya kiuchumi ndo uwa vinazingatiwa kwanza na lengo la kununua gari huwezi kununua ferrari au rolls Royce wakate unaenda kuitumia porini wazee

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Ndio umeandika nini wewe hamnazo? Gari unaona ni kitu kikubwa sana mpaka chakutokuamini?

Wewe unajua mimi naishi wapi mpaka mtu akitaja spare ya elfu 5 nijue ni gari gani?

Acha kukariri maisha,jf ni international forums.
Dah, inabidi kucheka tu, kumbe humu Kuna matahira!!
 
Bado hujafikia level ya kumiliki Gari,sema unalazimisha tu.
wewe mwenye level ya kumiliki gari unamsaidiaje akiwa na tatizo la kuhitaji usafiri?
Alafu ikumbukwe kwamba siyo kila anayemiliki gari la gharama amelipata kwa njia halali.
Na matapeli,majambazi ,wahujumu uchumi wanayo,ila kwa gharama ya wavuja jasho wengine.
huwezi kuwa unamiliki gari zuri au nyumba nzuri kwa kuitafuta mwenyewe ukakejeri wapambanaji.
Tuendelee kutafakari.
 
Hehehee bwana tajiri wetu samahani sana nimekosea kujibishana na tajiri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
aah wapi.hamna lolote. ni tajiri wa jf,hawa ndo unakuta anatukana kila gari inayopita mbele yake kwa kusema ya mkopo,ukimwambia nawewe kakope anakasirika.
 
Sasa a diagnose nini wakati anajua kabisa tatizo ni oil sili ya diff imetoka? Hebu acheni basi ushamba
Kwa hapa Tanzania nafikiri kwenye 75% ya magari yote ni TOYOTA na hivyo spea zipo kwa wingi na bei yake ni rafiki kulinganisha na aina nyingine za magari
Tunashangaa alivyoshangilia kutumia buku kumi,atafute hela
 
wewe mwenye level ya kumiliki gari unamsaidiaje akiwa na tatizo la kuhitaji usafiri?
Alafu ikumbukwe kwamba siyo kila anayemiliki gari la gharama amelipata kwa njia halali.
Na matapeli,majambazi ,wahujumu uchumi wanayo,ila kwa gharama ya wavuja jasho wengine.
huwezi kuwa unamiliki gari zuri au nyumba nzuri kwa kuitafuta mwenyewe ukakejeri wapambanaji.
Tuendelee kutafakari.
pointi hatari sana,,,agiza azam cola,,kubwa baridiii..ntalipa
 
Hakuna tajiri anayetajiri kwa njia halali umkute anakashfu wasio nacho,labda utajiri wa majini na chuma ulete,
Jifunze kwa marehemu Dr.Mengi alivyokuwa mnyenyekevu na kusaidia wasiojiweza.
Kashfa iko wapi hapo? Acheni kukariri,ingekua mtu anajisifia umasikini wake ungesema ni kashfa?

Tatizo mnapenda tu kusikia habari za watu kua wana dhiki na wanateseka.
 
wewe mwenye level ya kumiliki gari unamsaidiaje akiwa na tatizo la kuhitaji usafiri?
Alafu ikumbukwe kwamba siyo kila anayemiliki gari la gharama amelipata kwa njia halali.
Na matapeli,majambazi ,wahujumu uchumi wanayo,ila kwa gharama ya wavuja jasho wengine.
huwezi kuwa unamiliki gari zuri au nyumba nzuri kwa kuitafuta mwenyewe ukakejeri wapambanaji.
Tuendelee kutafakari.
Ndio nyie hua mna amini kua matajiri hua wana Joka kubwa chumbani ambalo ndio hua linawapa hela! Tafuta Hela
 
Kwamba ili umiliki gari unatakiwa uwe na pesa ya akiba isiyoisha muda wote yenye uwezo wa kununua gari jingine au mawili hivi.[emoji16]!
Huwa nashangaa sana eti "umenunua gari pesa ya mawazo"

Kwenye maisha kuna kupanda na kushuka ndio maana kuna watu walikuwa na ramani kali sana na walinyanyua nyumba zao mpaka kwenye rinta lakini wakayumba kiuchumi wameishia kupaua upande tu wa nyumba ili maisha yaendelee.

Sasa swali na kwa hilo kundi la watu kwamba walitakiwa wawe na akiba ya kujenga nyumba hata mbili ili waweze kuanza ujenzi?
 
Sio wote wanaonunua magari wako vizuri au wana uwezo sana, kuna sababu tu mbalimbali zinafanya mtu ulazimike kuwa na gari.

Mbona fresh tu,nadhani mtoa mada alikuwa na lengo la kusifia urahisi wa kumiliki gari ya toyota,hata ikitokea mambo yamekuwa magumu unaweza kutatua tatizo la kiufundi kwa hela kidogo.

Tuache kujikweza bila sababu za msingi wakuu.una magari mengi .... si vibaya safi sana....
Huyo boya atakuwa mhaya tu hana vya gari wala nini anajisifia tu
 
Nimetoka sehemu na gari yangu, kufika home nacheki tairi ya nyuma kushoto, dah yote imelowa oil

Kumwita fundi anasema ni oil ya diff, seal ya ekseli imekufa.

Nikicheki mfukoni, mambo yako ovyo vibaya sana, fundi akatoa oil seal, kwenda dukani wananiambia sh 5000/(elfu tano), nilijua labda wamekosea bei, kumbe ni sawa, nikampa fundi akafunga, nae nikampoza 5000/=, jumla nimetumia 10 tu,

Kweli kuna gari kali sana duniani, ila mwacheni toyota abaki kuwa toyota.
Sema tu nyingi zimetengenezwa special kwa ajili yetu sisi walala hoi
Ndo maana katika kutengeneza Toyota wanazingatia sana reliability
 
Kashfa iko wapi hapo? Acheni kukariri,ingekua mtu anajisifia umasikini wake ungesema ni kashfa?

Tatizo mnapenda tu kusikia habari za watu kua wana dhiki na wanateseka.
Waombe wasimamizi wa jf wakufanye verified user,tukutembelee tujionee maajabu ya utajiri wako.
hizi fake IDs zinaleta kiburi kwa wengi wetu lakini uhalisia wa maisha tunayoishi tunayajua wenyewe.
 
Back
Top Bottom