Asante sana Trump kwa kuliweka hili wazi wazi kwamba katika vita yoyote anatanguliza maslahi ya Marekani

Waafrika hasa tanzania huwaambii kitu kuhusu usa .. wao wanapaita mamtoni
 
Hawajui ya kwamba mali iliyoibwa kwao ndiyo iliyotumika kujenga mamtoni
Mjinga mwingine huyu. USA wanakaribia kila kitu. Shida mmebeba historia zenu za uongo kwamba sijui mali za afrika ndo zimejenga ulaya na marekani. Huo na umburula wa hali ya juu na ukiongea hivyo utachekwa sana
 
Juzi kati hapa Trump alisema rais wa Ukraine ni dikiteta na hafai kuwa kiongozi one week later huyo huyo dikiteta amemkaribisha white house kumsainisha deal la kuinyonya Ukraine. Kweli USA huwa hana Adui wala Rafiki wa kudumu.
 
Kagame anaiba madini live live. Wenzake mabeberu wanazuga kama vile wanaenda kusaidia kuleta amani. Halafu mkizubaa, wanajipakulia minyama
SIku sii nyingi tukimsikia Trump anataka kununua eneo lenye mapigano yanayoongozwa na M23 hapo DRC kwa kisingizio anataka amalize huo mzozo hatutashangaa, kama anavyotaka kufanya pale Gaza. 😎
Kagame anaiba madini live live. Wenzake mabeberu wanazuga kama vile wanaenda kusaidia kuleta amani. Halafu mkizubaa, wanajipakulia minyama
Mr make America great again soon ata saini deal na Tchisekedi la kuchimba madini ya Congo, 😎
 
TRUMP , ZELENSKY MEETING DEVOLVES INTO SHOUTING MATCH.
Nimemkubali sana Zelensky kamshangaza Trump kwenye deal lake la kumsainisha kirahisi mpaka Trump aka loose temple na kumtishia kuwa hawezi kuwa great guy bila USA kuwa upande wake.
Hii nafikiri ni mara ya kwanza kutokea mbele ya cameraπŸ˜€
 
Dogo wamemweka mtu kati lakini bado hajakubali kuwa mnyonge😎
 

Duu hawa jamaa ni majambazi kabisa. Wanakubana mpaka unakuwa mpole. Jamani tuwe tunawaonea huruma viongozi wetu, maana siyo kwa kubananishwa kule. Again asante Trump kwa kuyaweka peupe mambo kama haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…