Asante Wenger umekumbuka kutuachia Aubameyang na Mkhitaryan

Asante Wenger umekumbuka kutuachia Aubameyang na Mkhitaryan

Duh! Nyie wanaArsenal hebu acheni unafiki aisee, yani kutoka "wenger must leave" mpaka "always in our hearts" Sasa na kwa taarifa yenu kashahairisha kuondoka kasema alikuwa anawabeep tu [emoji38].
Kwa huyu arteta aseeh bringbackourWENGERwe'llmissu
 
Back
Top Bottom