I can see your a good actress, ila umeniudhi sana C'alisia kusingizia ugonjwa, tena ugonjwa wenyewe huo, bora hata basi ungemdanganya kwenu kuna magonjwa ya kurithi kama ukoma au vinginevyo, yani vichwa vyenu vyote wewe na hao rafiki zake na mshkaji,
Hakuna hata mmoja wenu alie pinga wazo hilo kweli,
wote mkaona sawaaa yani ndo mwisho wenu wakusugua vichwa kweli dear.
Naomba nikwambie kitu kimoja MDOMO HUA UNAUMBA TENA SANA, na kwakua mungu wetu huwa hadhihakiwi unachomuomba yeye
Anakupatia hata kama ulikua unamtania. Tubu kwamungu asije ruhusu shetani akupitishe kwenye janga hilo ndugu yangu.
Mungu akuhurumie tu.