ASANTEN WANA Jf

ASANTEN WANA Jf

florence

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2011
Posts
423
Reaction score
163
Leo nimerudi jukwaani kutoa matokeo ya ushauri wenu mlionipa kwenye post yangu iliyotaka mnipe ushauri kwanini nakuwa siconcentrate na comfidence. Nimefuata ushauri wenu na nawashukuru sana kwa ushirikiano wenu kwani nimeshahudhuria mikutano kadhaa na kuwasilisha mada kadhaa naona nimeimprove kwa kiasi kikubwa ila kitu kingine ambacho cjakielewa ni baada ya kuwasilisha mada zangu watu wanakuwa hawana maswali ila wanaonyesha nyuso za tabasamu, ina maana wameridhika na wameelewa au hawajaelewa? Endeleeni kunisaidia mwenzenu.
God Bless you
 
ukimaliza waulize Is it clear? then, any question?
 
Kutokana na expression unayoonyesha huwa wanaona wakikuuliza maswali utapoteza mwelekeo na kuchanganyikiwa!
 
Komaa hivyohivyo mwisho wa siku utakuwa kama gadaf
 
Tabasabu inamaana nyingi na huwezi kumsoma mtu mara moja,inawezeka kweli ameridhika, au anaona yeye angeweza kufanya zaidi yako,lakini chamsingi ni wewe unavyo toa mada kwao na unavyojiamini ndio utaweza hujua wapi sawa na wapi ulichemsha, lakini kama umefanya na wamefurahia basi ndio dalili za kukukubali all the best.
 
Back
Top Bottom