Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Hii ya usiku pack unaipata kwa menyu ipiMambo murua halotel vifurushi vimerejea mahali pake nilitseka sana siku chache hizi yani movie nilishndwa kabisa kuzipakua sasa swaaaaaaaafi apo kwenye usiku pack ndio mahali pangu zaidi Leo ni kushusha movie adi kielewekeView attachment 1752981View attachment 1752979
Halotel ipi hiyo boss? Si wengine 4G LTE siku zote.Halotel wako ovyo kwenye internet (very slow indeed).
Hii ya usiku pack unaipata kwa menyu ipi
Sahihi kabisaHalotel ipi hiyo boss? Si wengine 4G LTE siku zote.
Sjui kubri wanapata wapi?Wenye kiburi ni Vodacom
Mkuu bas kuna eneo na eneo kwangu ni saf tu akuna Kobe halotel full speedHalotel wako ovyo kwenye internet (very slow indeed).
Na Airtel.Wenye kiburi ni Vodacom
Hiyo Ttcl ndio unajiungaje?!Haloteli internet ya usku GB 5=1500, TTCL GB 10=1500 RUDI NYUMBANI KUMENOGA
Wamefuta ila kitarudiLakn mbona sion kifurushi toka halotel kinaitwa tanzanite 20k per month GB50
Ukiona hivyo Kuna mhusika wamemuweka mfukoni kwani kala Hela yao.Wenye kiburi ni Vodacom
Halotel ipi hiyo boss? Si wengine 4G LTE siku zote.
Endeleeni kuifurahia. Eneo nililopo, halotel haina maana kabisa.Mkuu bas kuna eneo na eneo kwangu ni saf tu akuna Kobe halotel full speed
Royal vipi naona wamegoma kurudisha 10,000 12 GB, 1000 min all nets and 500 smsHalotel niliyokuwa naielewa ilikuwa ni ile ya unlimited
Royal bado, washenzi