Asanteni Halotel sasa kama mwanzo

Asanteni Halotel sasa kama mwanzo

Ila hii Nchi Ni ya hovyo Sana shida yetu ilikua Ni bei ya vifurushi ipungue badala yake wamepandisha,sasa badala ya kurudi kwenye hoja yetu ya kupunguziwa bei sasa hivi tunomba virudi kama mwanzo inamaana mitandao ya simu ina nguvu zaidi ya serikali yetu?
 
Ila hii Nchi Ni ya hovyo Sana shida yetu ilikua Ni bei ya vifurushi ipungue badala yake wamepandisha,sasa badala ya kurudi kwenye hoja yetu ya kupunguziwa bei sasa hivi tunomba virudi kama mwanzo inamaana mitandao ya simu ina nguvu zaidi ya serikali yetu?
Ina nguvu sana, unadhani Tz tuna serikali? Ni kundi la walaji wa keki ya taifa
 
Ukiona hivyo Kuna mhusika wamemuweka mfukoni kwani kala Hela yao.
Ukihongwa lazima uwe mpole, mfano mzuri Ni Malaya, akihongwa anatoa mpaka sehemu zake za Siri hata Kama hampendi aliyemgonga.
Hela waliohonga Ni ndefu. Lazima wairudishe kwanza.
itakua kweli mkuu
 
Nilidhani wamerudi ila bado wana ka gb 1 tu kwa usiku
 
Back
Top Bottom