Pre GE2025 Rais Samia ashiriki kwenye uzinduzi wa hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Handeni mkoani Tanga

Pre GE2025 Rais Samia ashiriki kwenye uzinduzi wa hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Handeni mkoani Tanga

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Ziara ya Kikazi ya Rais Samia Mkoani Tanga Februari 23, 2025



  • Akiwa kwenye ziara hiyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alifanya ufunguzi wa Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, iliyopo Mkata, mkoani Tanga, tarehe 23 Februari 2025.​

Handeni.png

Kujenga wodi ya wagonjwa wa mifupa katika Hospitali ya Wilaya ya Handeni

Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kutengwa kiasi cha shilingi milioni 240 kwa ajili ya kujenga wodi ya wagonjwa wa mifupa katika Hospitali ya Wilaya ya Handeni na kuifanya hospitali hiyo kuwa maalum kwa kushughulika na mifupa.

"Hospitali ile tumeona maendeleo yake, tumeona ilivyokamilika, lakini kwa sababu hospitali ile iko barabarani na tukiweka lami kipande cha barabara kwenda hospitali patakuwa karibu mno, kwahiyo, tumeamua kujenga eneo la kutibu, kupasua mifupa na kwa maana hiyo nimemuelekeza waziri wa TAMISEMI alete hapa fedha milioni mia mbili ili kujenga eneo la mifupa likamilike"
 
Asanteni Handeni.

#samiaapp
#kaziiendelee
#tumejipatanamama
 

Attachments

  • FB_IMG_1740511358312.jpg
    FB_IMG_1740511358312.jpg
    93.9 KB · Views: 1
Ziara ya Kikazi ya Rais Samia Mkoani Tanga Februari 23, 2025



  • Akiwa kwenye ziara hiyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alifanya ufunguzi wa Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, iliyopo Mkata, mkoani Tanga, tarehe 23 Februari 2025.​


Kujenga wodi ya wagonjwa wa mifupa katika Hospitali ya Wilaya ya Handeni

Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kutengwa kiasi cha shilingi milioni 240 kwa ajili ya kujenga wodi ya wagonjwa wa mifupa katika Hospitali ya Wilaya ya Handeni na kuifanya hospitali hiyo kuwa maalum kwa kushughulika na mifupa.

"Hospitali ile tumeona maendeleo yake, tumeona ilivyokamilika, lakini kwa sababu hospitali ile iko barabarani na tukiweka lami kipande cha barabara kwenda hospitali patakuwa karibu mno, kwahiyo, tumeamua kujenga eneo la kutibu, kupasua mifupa na kwa maana hiyo nimemuelekeza waziri wa TAMISEMI alete hapa fedha milioni mia mbili ili kujenga eneo la mifupa likamilike"


Kama Mama hatakomesha rushwa akimaliza muda wake hata kumbukwa kabisa. Akitaka kukumbukwa
1. Tume Huru
2. Apigane na Rushwa
3. Mikataba iwe wazi

Kwanini hayo yanamsinda kama ni Mama mzuri Mzalendo watu hawaelewi!! bila hayo atasahaulika huu ndiyo ukweli.
 
Back
Top Bottom