Asanteni makampuni ya usafirishaji wa abiria kutusogezea huduma Mbagala

Asanteni makampuni ya usafirishaji wa abiria kutusogezea huduma Mbagala

Mkalapa boy

Member
Joined
Aug 19, 2021
Posts
84
Reaction score
172
Hi wanaJF

Napenda kuchukua nafasi kuwashuru wamiliki wa MAKAMPUNI ya Mabasi yaendayo mikoni kutuletea huduma yenu Mbagala.

Kwa huku Mbagala tulizoea kuyaona mabasi yaendayo mikoa ya Kusini tu ndiyo inatoa huduma za usafiri na watu wengine wanaotaka kusafiri mikoa mingine lazima udamke saa 9 Hadi 10 alfajiri kuwahi Mbezi au ukalale Mbezi ili uweze kusafiri, lakini kwa sasa mambo ni tofauti basi ziendazo mikoa yote Tanzania zimejaa Terminal Mbagala hatudamki tena saa 9 .

Pongezi kwenu
 
Ni kweli wanajitahidi sana..Watu wa Kigamboni,Chanika na huko Mbagala wanapeta sana.
 
Hiyo safi sana wamewasaidia sana maana kutoka mbezi mpaka mabagala hiyo jioni ni kama safari ya mkoani tena...
 
Kwani serikali haioni kuwa kuna haja ya kuwa na Magufuli-like terminals kwa maeneo tofauti jijini. Mbagala, Tegeta na hii ya Mbezi...sio kuwa na terminal moja tu Dar nzima...

They must think about it!
 
Hi wanaJF

Napenda kuchukua nafasi kuwashuru wamiliki wa MAKAMPUNI ya Mabasi yaendayo mikoni kutuletea huduma yenu Mbagala.

Kwa huku Mbagala tulizoea kuyaona mabasi yaendayo mikoa ya Kusini tu ndiyo inatoa huduma za usafiri na watu wengine wanaotaka kusafiri mikoa mingine lazima udamke saa 9 Hadi 10 alfajiri kuwahi Mbezi au ukalale Mbezi ili uweze kusafiri, lakini kwa sasa mambo ni tofauti basi ziendazo mikoa yote Tanzania zimejaa Terminal Mbagala hatudamki tena saa 9 .

Pongezi kwenu
Mkalapa, kata ya Mwena unaenda lini tena ndugu?
 
Back
Top Bottom