YeahSio tetesi ni kweli...mna swali?
Sikuona alichokuwa akifanya Uwanjani zaidi tu ya kurukaruka kama Inzi wa Choo cha Stendi Kuu ya Mabasi Mbezi Louis.Hakuna habari njema iliyokuwa inasubiriwa sana na mashabiki wa mnyama kama habari za THANK YOU YA PAR OMAR JOBE pamoja na THANK YOU YA BABACAR SAR.
View attachment 3043902
Siku 183 zimetosha kabsa kwa Joeboy kuonesha ubora wake Msimbazi huku pia Babacar sarr yeye akihitaji miezi sita! Boss MO yupo kazini kwa hakika! Kaiz iendelee! Asante kwa kazi nzuri Joeboy.
Timu Milembe ma RC Nawanda ,mmoja kala kinyeo mwingine kenda polisi kuutangazia umma kwamba kafukuliwa mtaro.Hakimu atamuuliza binti.Wee binti no kweli ulifukuliwa mtaro? Binti atajibu,ndiyo mwesimiwa.Wee RC,ni kweli ulimfukua mtaro mwenzio? je,RC atajibuje?UBUNTU BOTHO