Asanteni sana Wachezaji Waandamizi Wazawa Wawili Juzi na Jana 'Kuwapiga' Onana na Inonga kwa 'Dharau' zao baada ya 'Kipigo' cha Yanga SC

King wa jamii sport salute
 
Onyo hujaliona mkuu
Wananitafutaga wenyewe na nilishawaambia hakuna anayeweza Vita ya Maneno nami hata Wawe / Wakiwa 500 kwa wakati Mmoja na Mimi peke yangu hivi bado nitawamudu na Kupambana nao vilivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…