GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hawa Wachezaji Wasaliti Wawili wametuumiza pakubwa dhidi ya Washamba na Malofa fulani hivi wa Kariakoo 'Twiga Street' ndani ya hii miaka miwili mitatu.
GENTAMYCINE ambaye ni Mstaafu Tukuka wa Michezo Michafu ya Ligi Kuu ya Tanzania baada ya kuwepo katika Shughuli hiyo miaka ya 2011 hadi 2013 nilipiga mno Kelele hapa Jamiiforums kuwaonya Uongozi wa Simba SC na wana Simba SC juu ya Hujuma na Usaliti unaofanywa na Viongozi Virusi baadhi na Wachezaji Waandamizi wa Kigeni ( wakiongozwa na hawa Watajwa Wawili ) na Wazawa wakiongozwa hasa na Kipa Aishi Manula ila wengi kwa Makusudi au Dharau tu juu yangu Mwamba wa Soka la Bongo Jamiiforums nzima hawakutaka Kunielewa japo najua sasa Wananielewa na Watanielewa Mzanaki na Myao Mimi.
GENTAMYCINE nimefurahi sana kusikia Simba SC imeachana rasmi na Beki Henock Inonga na sasa nataka upesi mno Uongozi wa Simba SC uachane pia na Mchezaji Clatous Chama kwani Binafsi kama mwenye Uchungu na Simba SC yangu SIMTAKI na SIMPENDI kabisa kutokana na UNAFIKI na USALITI wake huku akiwa ndiyo Kinara wa Kuwagawa Wachezaji Kambini.
Na wala msiogope Yeye kwenda upande wa Pili kwa Rafiki yangu mkubwa hapa Jamiiforums Bila bila ila nawahakikishieni akienda huko naenda Kumpiga Pini ya maana ya ama apate Majeraha ya Kudumu au muda wote tu akivaa Jezi ya hiyo Timu awe anajambajamba tu au namvimbisha Kende ( Pumbu ) kama alivyofanyiwa Morisson au namtupia Jini Farakanisha na huko anakoenda Kutwa tu atakuwa Anafarakana na Wenzake hadi watamchoka na hatocheza kabisa.
Nilimuonya mno Kipa Manula kupitia Kiongozi mmoja Serikalini ambaye ni Mshabiki mkubwa wa Simba SC na Rafiki yake juu ya Usaliti na Hujuma kubwa aliyotufanyia Aishi katika zile Gongo Tano Moko Umiza za mwaka Jana zinazoniumiza hadi sasa akadhani Natania ila sasa Kinachompata sasa ( japo anahangaika mno kwa Waganga ili apone ) anakijua na mwambieni hiyo Pini imepigiwa Congo DR na Fundi Mmoja Hatari na akitaka itolewe akiri kwa wana Simba SC wote Duniani kuwa mwaka jana alishiriki 100% katika Hujuma ya zile Gongo Tano Moko Umiza kutoka kwa Washamba na Malofa fulani wa Kariakoo.
Uongozi wa Simba SC mkishamalizana na Chama na baadhi ya Wachezaji Wazawa wasio na Viwango ila Uchawi wao tu ndiyo Unawabakisha hapo Simba SC mniambie ili niwapeni muongozo wa kuifanyia Simba SC yetu Tambiko Kubwa kama ambalo alikuwa akilifanya miaka ya nyuma ya Mafanikio yetu Marehemu Mzee Bamchawi kisha mtawaita wale Wataalam Wawili yule Bibi wa Kikwajuni Zanzibar na yule Mtaalam wa Morogoro waunganishe Nguvu zao kwa Kuisafisha Klabu Kiutaalam kuanzia katika Viwanja vyetu vya Mazoezi na hasa kwa Wachezaji na hakikisheni kila Mchezaji mnayemsajili Simba SC awe anajua haya Masuala yetu ya Utamaduni wa Mwafrika ( Ndumba Ndumba ) na ambaye atasema hataki achaneni nae au Mrogeni upesi ili Akili yake ikubali. Soka la Afrika bila Ndumba halinogi na wala haliendi Kudadadeki.
Baada ya Kunifurahisha kwa Kuachana rasmi na Msaliti na Mnafiki Beki Henock Inonga sasa GENTAMYCINE nawaahidi wana Simba SC kuwa narejea Kunipigania na Kuishauri Simba SC yangu ila hakikisheni Mkutano Mkuu wa Dharula unafanyika kabla ya Ligi Kuu kuanza ili tumfukuze Msaliti mkubwa Mwenyekiti Murtaza Mangungu.
Hunipendi na hunikubali kabisa GENTAMYCINE kwa CHUKI BINAFSI zako, USHAMBA wako, WIVU wako kwa UMAARUFU wangu mkubwa hapa Jamiiforums, kwa ROHO MBAYA yako ya KURITHI na ya KISHETANI na kwa KUTESWA na NYOTA YANGU KALI kutoka kwake MWENYEZI MUNGU ALIYONIBARIKI / ALIYONITUNUKU nayo tokea ANANIUMBA acha Kusoma Mada zangu kwani Sijakulazimisha na wala sijakushikia Mtutu wa Bunduki Usome au uwe Unanisoma hapa Jamiiforums.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" na hakutotokea mwingine wa kufanana nami.
Nimemaliza.
GENTAMYCINE ambaye ni Mstaafu Tukuka wa Michezo Michafu ya Ligi Kuu ya Tanzania baada ya kuwepo katika Shughuli hiyo miaka ya 2011 hadi 2013 nilipiga mno Kelele hapa Jamiiforums kuwaonya Uongozi wa Simba SC na wana Simba SC juu ya Hujuma na Usaliti unaofanywa na Viongozi Virusi baadhi na Wachezaji Waandamizi wa Kigeni ( wakiongozwa na hawa Watajwa Wawili ) na Wazawa wakiongozwa hasa na Kipa Aishi Manula ila wengi kwa Makusudi au Dharau tu juu yangu Mwamba wa Soka la Bongo Jamiiforums nzima hawakutaka Kunielewa japo najua sasa Wananielewa na Watanielewa Mzanaki na Myao Mimi.
GENTAMYCINE nimefurahi sana kusikia Simba SC imeachana rasmi na Beki Henock Inonga na sasa nataka upesi mno Uongozi wa Simba SC uachane pia na Mchezaji Clatous Chama kwani Binafsi kama mwenye Uchungu na Simba SC yangu SIMTAKI na SIMPENDI kabisa kutokana na UNAFIKI na USALITI wake huku akiwa ndiyo Kinara wa Kuwagawa Wachezaji Kambini.
Na wala msiogope Yeye kwenda upande wa Pili kwa Rafiki yangu mkubwa hapa Jamiiforums Bila bila ila nawahakikishieni akienda huko naenda Kumpiga Pini ya maana ya ama apate Majeraha ya Kudumu au muda wote tu akivaa Jezi ya hiyo Timu awe anajambajamba tu au namvimbisha Kende ( Pumbu ) kama alivyofanyiwa Morisson au namtupia Jini Farakanisha na huko anakoenda Kutwa tu atakuwa Anafarakana na Wenzake hadi watamchoka na hatocheza kabisa.
Nilimuonya mno Kipa Manula kupitia Kiongozi mmoja Serikalini ambaye ni Mshabiki mkubwa wa Simba SC na Rafiki yake juu ya Usaliti na Hujuma kubwa aliyotufanyia Aishi katika zile Gongo Tano Moko Umiza za mwaka Jana zinazoniumiza hadi sasa akadhani Natania ila sasa Kinachompata sasa ( japo anahangaika mno kwa Waganga ili apone ) anakijua na mwambieni hiyo Pini imepigiwa Congo DR na Fundi Mmoja Hatari na akitaka itolewe akiri kwa wana Simba SC wote Duniani kuwa mwaka jana alishiriki 100% katika Hujuma ya zile Gongo Tano Moko Umiza kutoka kwa Washamba na Malofa fulani wa Kariakoo.
Uongozi wa Simba SC mkishamalizana na Chama na baadhi ya Wachezaji Wazawa wasio na Viwango ila Uchawi wao tu ndiyo Unawabakisha hapo Simba SC mniambie ili niwapeni muongozo wa kuifanyia Simba SC yetu Tambiko Kubwa kama ambalo alikuwa akilifanya miaka ya nyuma ya Mafanikio yetu Marehemu Mzee Bamchawi kisha mtawaita wale Wataalam Wawili yule Bibi wa Kikwajuni Zanzibar na yule Mtaalam wa Morogoro waunganishe Nguvu zao kwa Kuisafisha Klabu Kiutaalam kuanzia katika Viwanja vyetu vya Mazoezi na hasa kwa Wachezaji na hakikisheni kila Mchezaji mnayemsajili Simba SC awe anajua haya Masuala yetu ya Utamaduni wa Mwafrika ( Ndumba Ndumba ) na ambaye atasema hataki achaneni nae au Mrogeni upesi ili Akili yake ikubali. Soka la Afrika bila Ndumba halinogi na wala haliendi Kudadadeki.
Baada ya Kunifurahisha kwa Kuachana rasmi na Msaliti na Mnafiki Beki Henock Inonga sasa GENTAMYCINE nawaahidi wana Simba SC kuwa narejea Kunipigania na Kuishauri Simba SC yangu ila hakikisheni Mkutano Mkuu wa Dharula unafanyika kabla ya Ligi Kuu kuanza ili tumfukuze Msaliti mkubwa Mwenyekiti Murtaza Mangungu.
Hunipendi na hunikubali kabisa GENTAMYCINE kwa CHUKI BINAFSI zako, USHAMBA wako, WIVU wako kwa UMAARUFU wangu mkubwa hapa Jamiiforums, kwa ROHO MBAYA yako ya KURITHI na ya KISHETANI na kwa KUTESWA na NYOTA YANGU KALI kutoka kwake MWENYEZI MUNGU ALIYONIBARIKI / ALIYONITUNUKU nayo tokea ANANIUMBA acha Kusoma Mada zangu kwani Sijakulazimisha na wala sijakushikia Mtutu wa Bunduki Usome au uwe Unanisoma hapa Jamiiforums.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" na hakutotokea mwingine wa kufanana nami.
Nimemaliza.