Asanteni Singida Big Stars na walio nyuma yenu, mliiandaa Simba kwa mechi ya leo dhidi ya Sfaxien

Asanteni Singida Big Stars na walio nyuma yenu, mliiandaa Simba kwa mechi ya leo dhidi ya Sfaxien

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Wahenga walisema "baraka inaweza kujificha". Siku chache zilizopita Simba ilienda Singida ikakutana na mechi ngumu ya kukamiwa. Walio nyuma ya Singida wakawaahidi wachezaji wao mapesa mengi.

Kilichotokea, wachezaji vijana wa Simba kina Ahoua walizidi kupata experience ya kucheza mengi ngumu ngumu zenye kugongana kwingi. Leo mechi dhidi ya Sfaxien haikuwa na tofauti sana na ile ya Singida. Hata leo refa alikuwa upande wao maana aliwabeba wale waarabu sio poa.

Nawaomba wale wanaotoa ahadi za motisha kwa timu zinazocheza na Simba muendelee kufanya hivyo. Inatusaidia sana.

NYONGEZA 1: Simba ndiyo timu ya KWANZA ya Tanzania kumfunga mwarabu nje ndani.

NYONGEZA 2: Simba ndiyo timu ya kwanza ya Tanzania kumfunga mwarabu nyumbani kwake katika majira ya baridi.

NYONGEZA 3: Leo limefungwa goli la "open play" hausikii milio yoyote ya vyura.

NYONGEZA 4: Binadamu tumeumbwa kusahau. Simba ni timu ya kwanza ya Tanzania kuwekwa katika Pot 1 katika mashindano ya CAF.
 
Timu kubwa zipo CAFCL
Nani anajali mashindano ya shirikisho yaani mashindano ya akina mama

Si Bora tufatilie Mapinduzi cup inayoendelea Zanzibar
 
Hakika simba ni mfano wa kuigwa
GdXR98cW0AAzlKt.jpeg
 
Timu kubwa zipo CAFCL
Nani anajali mashindano ya shirikisho yaani mashindano ya akina mama

Si Bora tufatilie Mapinduzi cup inayoendelea Zanzibar
Hata wanaozaliwa kwenye maabara hawawezi kuwa na chuki za kiasi hiki dhidi ya kina mama.

Simba inaenda kubeba kombe la shirikisho na itakuwa timu ya kwanza ya Tanzania kufanya hivyo na hakuna lolote mnaloweza kufanya kuzuia hilo.
 
Wahenga walisema "baraka inaweza kujificha". Siku chache zilizopita Simba ilienda Singida ikakutana na mechi ngumu ya kukamiwa. Walio nyuma ya Singida wakawaahidi wachezaji wao mapesa mengi.

Kilichotokea, wachezaji vijana wa Simba kina Ahoua walizidi kupata experience ya kucheza mengi ngumu ngumu zenye kugongana kwingi. Leo mechi dhidi ya Sfaxien haikuwa na tofauti sana na ile ya Singida. Hata leo refa alikuwa upande wao maana aliwabeba wale waarabu sio poa.

Nawaomba wale wanaotoa ahadi za motisha kwa timu zinazocheza na Simba muendelee kufanya hivyo. Inatusaidia sana.

NYONGEZA 1: Simba ndiyo timu ya KWANZA ya Tanzania kumfunga mwarabu nje ndani.

NYONGEZA 2: Simba ndiyo timu ya kwanza ya Tanzania kumfunga mwarabu nyumbani kwake katika majira ya baridi.

NYONGEZA 3: Leo limefungwa goli la "open play" hausikii milio yoyote ya vyura.

NYONGEZA 4: Binadamu tumeumbwa kusahau. Simba ni timu ya kwanza ya Tanzania kuwekwa katika Pot 1 katika mashindano ya CAF.
Kwaiyo na wewe umeona kumfunga uyo kengold wa Tunisia ni habari ya kutamba nayo,,iyo nayo ni timu ya kusema umeifunga mbele za watu? Akili mnaachaga wapi nyie vijana wa mangungu!
 
Utopolo zile medali za msimu uliopita ni wamama walivalishwa shanga?
Acheni kelele
Acha wenye akili timamu tujadili CAFCL, nyie mbumbumbu ongeleeni mashindano yenu ya akina mama
 
Hata wanaozaliwa kwenye maabara hawawezi kuwa na chuki za kiasi hiki dhidi ya kina mama.

Simba inaenda kubeba kombe la shirikisho na itakuwa timu ya kwanza ya Tanzania kufanya hivyo na hakuna lolote mnaloweza kufanya kuzuia hilo.
Simba ipi iyo? Hii au Kuna Simba nyingine?
 
Simba ndio team ya kwanza kuongoza ligi huku ikiweweseka!!
Kama inaoga nje!
 
Hata wanaozaliwa kwenye maabara hawawezi kuwa na chuki za kiasi hiki dhidi ya kina mama.

Simba inaenda kubeba kombe la shirikisho na itakuwa timu ya kwanza ya Tanzania kufanya hivyo na hakuna lolote mnaloweza kufanya kuzuia hilo.
Hayo makombe ya akina mama acha washangilie Simba Queens
Fuatilia Hata mapinduzi cup
 
Kwaiyo na wewe umeona kumfunga uyo kengold wa Tunisia ni habari ya kutamba nayo,,iyo nayo ni timu ya kusema umeifunga mbele za watu? Akili mnaachaga wapi nyie vijana wa mangungu!
Sfaxien imefika nusu fainali ya CAFCL mwaka 2014 yaani miaka 10 tu iliyopita wakati Yanga imeingia hatua ya makundi mwaka jana baada ya miaka zaidi ya 20 na hapo sina uhakika hata hiyo nusu fainali kama umewahi kunusa. Sfaxien pia imechukua ubingwa wa kombe la shirikisho mara 3 kati ya 2007-2013 na kuwa mshindi wa 2 mara moja ndani ya muda huo huo.

Baada ya takwimu hizo, tupe rekodi ya Kengold au ya Yanga kabisa maana tunaweza kuwa tunawaonea Kengold.
 
Back
Top Bottom