Asanteni Singida Big Stars na walio nyuma yenu, mliiandaa Simba kwa mechi ya leo dhidi ya Sfaxien

Asanteni Singida Big Stars na walio nyuma yenu, mliiandaa Simba kwa mechi ya leo dhidi ya Sfaxien

Sfaxien imefika nusu fainali ya CAFCL mwaka 2014 yaani miaka 10 tu iliyopita wakati Yanga imeingia hatua ya makundi mwaka jana baada ya miaka zaidi ya 20 na hapo sina uhakika hata hiyo nusu fainali kama umewahi kunusa. Sfaxien pia imechukua ubingwa wa kombe la shirikisho mara 3 kati ya 2007-2013 na kuwa mshindi wa 2 mara moja ndani ya muda huo huo.

Baada ya takwimu hizo, tupe rekodi ya Kengold au ya Yanga kabisa maana tunaweza kuwa tunawaonea Kengold.
Kubali wazi kuwa Kwa Sasa Makolo wanashiriki mashindano ya akina mama
 
Sfaxien imefika nusu fainali ya CAFCL mwaka 2014 yaani miaka 10 tu iliyopita wakati Yanga imeingia hatua ya makundi mwaka jana baada ya miaka zaidi ya 20 na hapo sina uhakika hata hiyo nusu fainali kama umewahi kunusa. Sfaxien pia imechukua ubingwa wa kombe la shirikisho mara 3 kati ya 2007-2013 na kuwa mshindi wa 2 mara moja ndani ya muda huo huo.

Baada ya takwimu hizo, tupe rekodi ya Kengold au ya Yanga kabisa maana tunaweza kuwa tunawaonea Kengold.
Akili zenu azipo sawa sawa,,nimewauliza current performance yao kwa sasa ikoje? Iyo historia inawasaidia nini kwa sasa? Timu waliyokuwa nayo kipindi hicho na sasa ni vitu viwili tofauti,,historia aiwezi kukusaidia chochote na Wala aichezi Mpira,,kwasasa ni timu mbovu aitofautiani na kengold kwani sisi ni vipofu atuoni? Aijalishi alifika nusu fainali miaka iyo ingekuwa historia inacheza na inasaidia ingewasaidia kutokuwa na timu mbovu kwa sasa!
 
Timu kubwa zipo CAFCL
Nani anajali mashindano ya shirikisho yaani mashindano ya akina mama

Si Bora tufatilie Mapinduzi cup inayoendelea Zanzibar
wydad,kaizer,usma,rs berkane,zamalek,simba, hizi ni timu kubwa tu Africa ila hazipo CL ila ukubwa wao upo pale
 
Akili zenu azipo sawa sawa,,nimewauliza current performance yao kwa sasa ikoje? Iyo historia inawasaidia nini kwa sasa? Timu waliyokuwa nayo kipindi hicho na sasa ni vitu viwili tofauti,,historia aiwezi kukusaidia chochote na Wala aichezi Mpira,,kwasasa ni timu mbovu aitofautiani na kengold kwani sisi ni vipofu atuoni? Aijalishi alifika nusu fainali miaka iyo ingekuwa historia inacheza na inasaidia ingewasaidia kutokuwa na timu mbovu kwa sasa!
Usisahau Na Kumuuliza Na Current Form Ya Tp Mazembe Sawa Braza Kiazi?
 
Back
Top Bottom