Kubali wazi kuwa Kwa Sasa Makolo wanashiriki mashindano ya akina mamaSfaxien imefika nusu fainali ya CAFCL mwaka 2014 yaani miaka 10 tu iliyopita wakati Yanga imeingia hatua ya makundi mwaka jana baada ya miaka zaidi ya 20 na hapo sina uhakika hata hiyo nusu fainali kama umewahi kunusa. Sfaxien pia imechukua ubingwa wa kombe la shirikisho mara 3 kati ya 2007-2013 na kuwa mshindi wa 2 mara moja ndani ya muda huo huo.
Baada ya takwimu hizo, tupe rekodi ya Kengold au ya Yanga kabisa maana tunaweza kuwa tunawaonea Kengold.
ππNakubali wazi kuwa makolo wanashiriki mashindano ya kina mama.
Point 4 FC. ππ€£πTimu kubwa zipo CAFCL
Nani anajali mashindano ya shirikisho yaani mashindano ya akina mama
Si Bora tufatilie Mapinduzi cup inayoendelea Zanzibar
Akili zenu azipo sawa sawa,,nimewauliza current performance yao kwa sasa ikoje? Iyo historia inawasaidia nini kwa sasa? Timu waliyokuwa nayo kipindi hicho na sasa ni vitu viwili tofauti,,historia aiwezi kukusaidia chochote na Wala aichezi Mpira,,kwasasa ni timu mbovu aitofautiani na kengold kwani sisi ni vipofu atuoni? Aijalishi alifika nusu fainali miaka iyo ingekuwa historia inacheza na inasaidia ingewasaidia kutokuwa na timu mbovu kwa sasa!Sfaxien imefika nusu fainali ya CAFCL mwaka 2014 yaani miaka 10 tu iliyopita wakati Yanga imeingia hatua ya makundi mwaka jana baada ya miaka zaidi ya 20 na hapo sina uhakika hata hiyo nusu fainali kama umewahi kunusa. Sfaxien pia imechukua ubingwa wa kombe la shirikisho mara 3 kati ya 2007-2013 na kuwa mshindi wa 2 mara moja ndani ya muda huo huo.
Baada ya takwimu hizo, tupe rekodi ya Kengold au ya Yanga kabisa maana tunaweza kuwa tunawaonea Kengold.
wydad,kaizer,usma,rs berkane,zamalek,simba, hizi ni timu kubwa tu Africa ila hazipo CL ila ukubwa wao upo paleTimu kubwa zipo CAFCL
Nani anajali mashindano ya shirikisho yaani mashindano ya akina mama
Si Bora tufatilie Mapinduzi cup inayoendelea Zanzibar
Timu kubwa haiwezi kucheza mashindano ya akina mamawydad,kaizer,usma,rs berkane,zamalek,simba, hizi ni timu kubwa tu Africa ila hazipo CL ila ukubwa wao upo pale
Usisahau Na Kumuuliza Na Current Form Ya Tp Mazembe Sawa Braza Kiazi?Akili zenu azipo sawa sawa,,nimewauliza current performance yao kwa sasa ikoje? Iyo historia inawasaidia nini kwa sasa? Timu waliyokuwa nayo kipindi hicho na sasa ni vitu viwili tofauti,,historia aiwezi kukusaidia chochote na Wala aichezi Mpira,,kwasasa ni timu mbovu aitofautiani na kengold kwani sisi ni vipofu atuoni? Aijalishi alifika nusu fainali miaka iyo ingekuwa historia inacheza na inasaidia ingewasaidia kutokuwa na timu mbovu kwa sasa!
Jibu swali.Kwa hiyo mlivalishwa vidani muende mkacheze kigodoro?Acheni kelele
Acha wenye akili timamu tujadili CAFCL, nyie mbumbumbu ongeleeni mashindano yenu ya akina mama