Asanteni Wajumbe wa Kigamboni, Kamati yangu ya 'Wasiojulikana' ya Roho Mbaya CCM Dar es Salaam na Kamati Kuu ya CCM Dodoma 'Mtu' kachinjwa rasmi

Mkuu Gentamycine,

Mimi sitasema sana ila kwa kifupi kilichofanyika chaitwa "double knock effect" yaani mipango ilikwishasukwa kitambo.

Yaani zuia Kigamboni na ondoa ofisini..

Kibaya zaidi ni pale alipokamia kurudi kwa Tango Lima ndipo mazee yalipoomshauri mkulu awahishe utenguzi.

Lakini kweli kikulacho ki nguoni mwako.

Bwana Abuu Koinange ni mtu "smart" sana.

Mtu atumwa akukaimu halafu awe tyari kuchukua nafasi yako "in a friendly way".

Anyway kuna maisha baada ya uDC ila unavyomshauri aende kwa Yusufu si atalia sana akifika huko?
 
GENTAMYCINE,

Uwezi jua mwenzio unaweza sikia huyooooo dubai au Israel anawakilisha nchi. Teuzi zipo nyingi tu. Let's wait

Mwisho wake huyo 'Mpuuzi' wenu 'mnayemtetea' hapa ndiyo umeshafika na ninakuibia sasa za ndani kuna 'Ulaji' kafanya akiwa RC atashtakiwa tu.
 
Boss GENTAMYCINE Umesahau ... Rais ana nafasi 10 za upendeleo ??? !!!
Ila Bashite ... Kavuna alichopanda ... Na iwe fundisho kwake na Viongozi wengine wa aina yake


 
Mwisho wake huyo 'Mpuuzi' wenu 'mnayemtetea' hapa ndiyo umeshafika na ninakuibia sasa za ndani kuna 'Ulaji' kafanya akiwa RC atashtakiwa tu.
Mi sio namtete hapana nasema tu. Uwezekano huo bado upo. Na kuna nchi nyingi tu hatuna balozi huenda akapata hiyo fursa.
Binafsi nilikuwa namwelewa kipindi akiwa mkuu wa wilaya. nilianza kumwona hafai alipokuwa anawaweka wenye viti Wa mitaa kwenye mikutano wananza kusutana na wajumbe
 
Mkuu hilo jina #genta.
Huyu mkurya halitaki kabsa. Anapenda ukisema GENTAMYCINE
 
Kila lenye mwanzo pia lina mwisho.
Maisha ya siasa yana mwisho, lakini mwisho wa huyu jamaa siyo mzuri, maana aliendesha shughuli zake kibabe na ujivuni mwingi.

Wanasiasa wengine wenye kiburi kama yeye wajifunze
 
Kuna Watu ( Members ) hapa JF niliposema kuwa huyu 'Mpuuzi' muda wowote kuna 'Mashtaka' atayajibu na 'atafilisiwa' mazima tu hawakunielewa.
Kama alikuwa anajikusanyia kipato kwa njia isiyo halali na wakati huohuo Number moja hataki vipato vya dhuluma itakuwa ni Jambo jema kwa Makonda kushughulikiwa ipasavyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…